Ukiwinda Mwanamke muda mrefu mara nyingi huishia kuwa Disappointed

Ukiwinda Mwanamke muda mrefu mara nyingi huishia kuwa Disappointed

Saharavoice

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2007
Posts
4,017
Reaction score
2,580
Kwa wale ambao ni so experienced kwenye masuala ya uwindaji, hebu tugawane haya mauzoefu.
Mara nyingi mwanamke akikusumbua sana kukupa uroda, siku akija kukupa Unakuta sicho ulichotarajia kukikuta ukilinganisha na usumbufu uliopata na hiyo hupelekea mapenzi yasidumu hata kwa sekunde moja.
Ina maana wanazungusha huku wakijua udhaifu wao, au ni ile wasionekane wanagawa hovyo, mimi sielewi,
Miezi sita mtu unaomba utafikiri unaomba kazi!!!!!!


 
Naungana nawe kuwa labda wanazungusha kwa sababu wanajua udhaifu wao...
 
Tamaa tu zinawasumbua!!!

Kama ni uroda tu ulikua unataka siukanunue?! Maana kama kuna la ziada ulipenda kwake huwezi ukawa unafikiria uroda tu mpaka akifeli unakosa uvumilivu wa kumfundisha ili nae awe mtaalamu na kukimbia!!
 
Kwa wale ambao ni so experienced kwenye masuala ya uwindaji, hebu tugawane haya mauzoefu.
Mara nyingi mwanamke akikusumbua sana kukupa uroda, siku akija kukupa Unakuta sicho ulichotarajia kukikuta ukilinganisha na usumbufu uliopata na hiyo hupelekea mapenzi yasidumu hata kwa sekunde moja.
Ina maana wanazungusha huku wakijua udhaifu wao, au ni ile wasionekane wanagawa hovyo, mimi sielewi,
Miezi sita mtu unaomba utafikiri unaomba kazi!!!!!!
[/QUOTE
Sasa wewe kama siyo uroho na ujuha kwa nini ufuatilie miezi sita yote??? Kwani wengine unakuwa huwaoni??? Una muda sana wa kupoteza wewe!!
 
Tamaa tu zinawasumbua!!!

Kama ni uroda tu ulikua unataka siukanunue?! Maana kama kuna la ziada ulipenda kwake huwezi ukawa unafikiria uroda tu mpaka akifeli unakosa uvumilivu wa kumfundisha ili nae awe mtaalamu na kukimbia!!

Taratibu Lizzy, kwani wanawake hawana tamaa?

Unapomfuatilia mtu kwa muda mrefu huku ukifahamu kwamba kuna wanawake wanajiuza basi hapo ni zaidi ya uroda. Lakini uroda ni sehemu ya mapenzi so huwezi kuvitenganisha.
 
Sasa wewe kama siyo uroho na ujuha kwa nini ufuatilie miezi sita yote??? Kwani wengine unakuwa huwaoni??? Una muda sana wa kupoteza wewe!!
 
mmmmnh......
naanza kuamini kuwa wale wanaume wasiogonga gonga hovyo ndio wanaodumu na ndoa zao sababu hakuna wa kucompare naye,hii ya kutembea na mwajuma kesho asha ndio inapelekea kufanya comparison.....eti ukikuta sicho ulichokitarajia.....mbunye ni mbunye ndugu!
 
Kama hujaoa na unayemwomba hutaki kumwoa usimg'ang'anie na kumfuata unamuomba yeye tu kila siku maana atakuumiza kisaikolojia. Kimsingi hii ni kama business, mteja huyu akigoma ukikaa naye muda mrefu atakupotezea muda na nguvu zako pia. Jaribu kufikiri kama ingetokea mmachinga akikung'ang'ania siku nzima wewe akuuzie suruali hata ikija kutokea umenunua kwani unanunua nguo zake zote?, utanunua suruali ama shati moja basi, atakuwa amepoteza muda mrefu kwa faida ndogo kupita kiasi. Kwahiyo ukimwomba mara mbili tatu hataki songa mbele uokoe muda wako na nguvu kidogo ulizonazo, vinginevyo una muda na nguvu za kuchezea. Unaomba miezi sita kitu ya kutumia nusu saa au lisaa? Unaomba miezi sita wakati ukipewa unayepoteza nguvu ni wewe? Unaomba miezi sita wakati hujui unachokiomba kikoje? Wakati wote huo wa miezi sita unapoomba umasikini unaongezeka maana unatumia hela kuomba na hufanyi kazi vizuri maana akili imeshikwa, ukija kupewa ndio unatakiwa ugharamie zaidi??????? Huo ni upunguani... nikupe mbinu rahisi. 1 - Oa, 2 - omba muda mfupi, hujapewa songa mbele atayekupa huenda hata akaipa akili yako nguvu ya kufikiri kwa haraka zaidi.
 
Taratibu Lizzy, kwani wanawake hawana tamaa?

Unapomfuatilia mtu kwa muda mrefu huku ukifahamu kwamba kuna wanawake wanajiuza basi hapo ni zaidi ya uroda. Lakini uroda ni sehemu ya mapenzi so huwezi kuvitenganisha.

Yeye ameongelea wanaume kwahiyo siwezi kumbadilishia lengo lake!!Ukweli ni kwamba huwezi ukamfuatilia mtu miezi kadhaa kwa lengo la kujaribu kujenga mahusiano nae alafu mapungufu ya kitandani ndo yakakukimbiza wakati yanafundishika.
 
Yeye ameongelea wanaume kwahiyo siwezi kumbadilishia lengo lake!!Ukweli ni kwamba huwezi ukamfuatilia mtu miezi kadhaa kwa lengo la kujaribu kujenga mahusiano nae alafu mapungufu ya kitandani ndo yakakukimbiza wakati yanafundishika.

Ni wanaume wangapi wanaoweza kuthubutu kuwafundisha wapenzi wao hayo maujanja? Wakati mwingine unaweza kuthubutu kujaribu kumfundisha kibao kikakugeukia, maswali yanaanza we ulijuaje na mambo mengine kama hayo, kwahiyo akina dada mjitahidi kujifundisha mautundu.
 
Ni wanaume wangapi wanaoweza kuthubutu kuwafundisha wapenzi wao hayo maujanja? Wakati mwingine unaweza kuthubutu kujaribu kumfundisha kibao kikakugeukia, maswali yanaanza we ulijuaje na mambo mengine kama hayo, kwahiyo akina dada mjitahidi kujifundisha mautundu.

Ulijuaje?!Kwani wakati unamtongoza ulimwambia yeye ndio wa kwanza kwako?!Man up...hata wanawake siku hizi tunafunguka kwenye hilo!!
 
Kwa wale ambao ni so experienced kwenye masuala ya uwindaji, hebu tugawane haya mauzoefu.
Mara nyingi mwanamke akikusumbua sana kukupa uroda, siku akija kukupa Unakuta sicho ulichotarajia kukikuta ukilinganisha na usumbufu uliopata na hiyo hupelekea mapenzi yasidumu hata kwa sekunde moja.
Ina maana wanazungusha huku wakijua udhaifu wao, au ni ile wasionekane wanagawa hovyo, mimi sielewi,
Miezi sita mtu unaomba utafikiri unaomba kazi!!!!!!


Miezi sita tu! hata kama ingekuwa mwaka poa tu. Wewe unadhani kumdanganya mtoto wa mwanaume mwenzio mpaka akuvulie nguo ni kazi rahisi rahisi tu!
 
Dat iz ha decision even if akizingua mwaka but nilichotaka nimepata hata kama co kivile nilivyodhani
 
Kama hujaoa na unayemwomba hutaki kumwoa usimg'ang'anie na kumfuata unamuomba yeye tu kila siku maana atakuumiza kisaikolojia. Kimsingi hii ni kama business, mteja huyu akigoma ukikaa naye muda mrefu atakupotezea muda na nguvu zako pia. Jaribu kufikiri kama ingetokea mmachinga akikung'ang'ania siku nzima wewe akuuzie suruali hata ikija kutokea umenunua kwani unanunua nguo zake zote?, utanunua suruali ama shati moja basi, atakuwa amepoteza muda mrefu kwa faida ndogo kupita kiasi. Kwahiyo ukimwomba mara mbili tatu hataki songa mbele uokoe muda wako na nguvu kidogo ulizonazo, vinginevyo una muda na nguvu za kuchezea. Unaomba miezi sita kitu ya kutumia nusu saa au lisaa? Unaomba miezi sita wakati ukipewa unayepoteza nguvu ni wewe? Unaomba miezi sita wakati hujui unachokiomba kikoje? Wakati wote huo wa miezi sita unapoomba umasikini unaongezeka maana unatumia hela kuomba na hufanyi kazi vizuri maana akili imeshikwa, ukija kupewa ndio unatakiwa ugharamie zaidi??????? Huo ni upunguani... nikupe mbinu rahisi. 1 - Oa, 2 - omba muda mfupi, hujapewa songa mbele atayekupa huenda hata akaipa akili yako nguvu ya kufikiri kwa haraka zaidi.
<br />
<br />

kweli akili yako mtindi. Waambie wenzioooo
 
mmmmnh......
naanza kuamini kuwa wale wanaume wasiogonga gonga hovyo ndio wanaodumu na ndoa zao sababu hakuna wa kucompare naye,hii ya kutembea na mwajuma kesho asha ndio inapelekea kufanya comparison.....eti ukikuta sicho ulichokitarajia.....mbunye ni mbunye ndugu!

Mbunye zimetofautiana bana kama maji yapo masafi na machafu lakini yote maji...
 
Back
Top Bottom