Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,017
- 2,580
Kwa wale ambao ni so experienced kwenye masuala ya uwindaji, hebu tugawane haya mauzoefu.
Mara nyingi mwanamke akikusumbua sana kukupa uroda, siku akija kukupa Unakuta sicho ulichotarajia kukikuta ukilinganisha na usumbufu uliopata na hiyo hupelekea mapenzi yasidumu hata kwa sekunde moja.
Ina maana wanazungusha huku wakijua udhaifu wao, au ni ile wasionekane wanagawa hovyo, mimi sielewi,
Miezi sita mtu unaomba utafikiri unaomba kazi!!!!!!
Mara nyingi mwanamke akikusumbua sana kukupa uroda, siku akija kukupa Unakuta sicho ulichotarajia kukikuta ukilinganisha na usumbufu uliopata na hiyo hupelekea mapenzi yasidumu hata kwa sekunde moja.
Ina maana wanazungusha huku wakijua udhaifu wao, au ni ile wasionekane wanagawa hovyo, mimi sielewi,
Miezi sita mtu unaomba utafikiri unaomba kazi!!!!!!