maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
Kwenye simu yake ana application ya Facebook Lite huna haja ya kuuliza uyo ni mshamba.
Ana miaka chini ya 25 anashanibikia Arsenal uyo ni mshamba anafata mkumbo, hiyo timu karithi.
Ana nyimbo zote za Wasafi, huyo ni mshamba fika.
Ameweka dredi nusu kichwa kama mama yao, huyo pia mshamba.
Kavaa nguo yenye lebel, iwe Gucci, fend fend au Supreme huyo mshamba kupitiliza.
Anatembea na maji au soda, huyu kapitiliza kidogo kwenye ushamba.
Anashabikia Simba, huyu hafai kuigwa na jamii.
Taja sifa zingine za washamba
Ana miaka chini ya 25 anashanibikia Arsenal uyo ni mshamba anafata mkumbo, hiyo timu karithi.
Ana nyimbo zote za Wasafi, huyo ni mshamba fika.
Ameweka dredi nusu kichwa kama mama yao, huyo pia mshamba.
Kavaa nguo yenye lebel, iwe Gucci, fend fend au Supreme huyo mshamba kupitiliza.
Anatembea na maji au soda, huyu kapitiliza kidogo kwenye ushamba.
Anashabikia Simba, huyu hafai kuigwa na jamii.
Taja sifa zingine za washamba