Ukizaa watoto kuanzia watano lazima atatokea mmoja pasua kichwa

Kwann Mkuu Elon Musk kafyatua 12 and counting. Ila utanijibu ss unajifananisha na Musk? 😁🙌

Ni preference mkuu kama me nataka team
Wewe yule Elon Musk unamuona akili zake ziko sawa?

Mpaka leo hujui kuwa Elon Musk ana matatizo ya akili?
 
Hakuna uzao utakaokosa kaini🤣🤣 ukizaa mmoja basi ndio kaini mwenyewe huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…