Ukizaliwa mchaga ni raha sana

Status
Not open for further replies.
Raha ya kuolewa na mchaga. Atahangaika watoto Waende shule, mle, mlale kwenye nyumba bora n.k hata kama itamgharimu kukosa usingizi.
Mbona wachaga maskini wapo kibao au nyie mnaishi Tanzania ipi? Hii third world hamna kabila limeipuka umaskini hata hivyo mna haki ya kuota.
 
Kuzaliwa mchaga unazaliwa na diploma ya biashara,mi hapa nlipo hata nikipata dili mogadishu au allepo au baghdad sijifikirii mara mbili kwenda
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…