Ukizawadiwa tunda kirahisi usile kwa mapepe

Ukizawadiwa tunda kirahisi usile kwa mapepe

Umenikumbusha kuna denti alikuja kujilengesha kwangu , tulikuwa na mawasiliano ya kawaida tu lkn niliona staili ya kunishobokea hivi, ni mzuri amepanda hewani, trako ndo usiseme hips zake amejaaliwa . Ghafla saa kumi na moja alfajiri ananigongea kuamka namkuta yeye nikamkaribisha akaingia ndani nikiwa nimepanga kwa shemeji yake. Nikatoka kwenda msalani na taulo tu, narudi namkuta kakaa kitandani siunajua getto linavokuwa , cha ajabu ndala alizovaa nikazikuta ndani nkajisemea huu msala

Na ufisi wote nilimwacha aende kama alivoingia

Miezi mitatu dah binti ana mimba kubwa tu
 
Imewahi tokea kwangu mara mbili wa kwanza full kunipa attention wakati alinikataa kwa dharau nikampa mda mimba ikasoma nikasema punguani huyu
Mvumilivu hula mbivu nikampa mda akazaa akawa single mother kama wasemavyo kijana akakua hadi kuanza chekechea ndio nikapiga nikasepa sikuwa na namna alinifanyia sio poa
Mwingine ni WA juzi TU Kila nikipita namuangalia nacheka TU.
Somo la Uvumilivu tayari tunakupa A [emoji16]
 
Back
Top Bottom