Uko CHADEMA+uko Yanga+uko Asenali+teamKiba+

Uko CHADEMA+uko Yanga+uko Asenali+teamKiba+

Napoleone

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2012
Posts
10,087
Reaction score
16,036
Unaish maisha kama uko motoni

Haya ni maneno aliyoyatoa jamaa yangu m1,jana nilimkuta victoria pale ananyeshewa na mvua nkampa lift,sasa tukawa tunacheka, Kasema yeye machaguo aliyochagua maishan ndo yanamtesa. Hahahah. Nilicheka sana

Uzi tayari

Uzi wa kupoteza muda tuu

Wakuu yaan mi nmechoka kufanya kaz wakuu, kabisaaaa, yaan hapa nipo ofisin nataman hata kuacha kaz. Ingawa sjui wats next baada ya kuacha kaz.
 
a aiseeeee kushabikia vitu hivyo lazima presha uipate maana ni furuuuuuuuu stressssssss
 
Kuna jamaa wa aseno mwanzo wa ligi alikuwa kila siku ya mechi lazima aweke status kuhusu team yake huko WhatsApp

Siku hizi kama haioni vile hiyo aseno,kahamia Madrid 😂😂
 
Mhh! Tanzania ndio nchi pekee ambayo watu wake wanao muda wa kupoteza.
 
Back
Top Bottom