February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
Kunywa maji Mkuu ...Greerings earthlings,
Niko najifunza physiology ya mwili wa binadamu.
Assume hujala na hujanywa siku4 jangwani
kipi bora kukutana na katoni la maji ya masafi au katoni la juice za mo passion.
Nimefikiria kuuliza hivo baada ya kusikia kiu na njaa lakini nina 500 mfukon,..
sasa bora kujali kiu kwanza au kunywa hiyo passion maana ina maji + sukari ambayo ni kama chakula kitakupa nguvu?
Ushasema una kiu sasa mo passion ya nini? Ungesema una njaa hapo hamna cha kukufaa koz hujaweka Mirinda orange kwenye option.Greerings earthlings,
Niko najifunza physiology ya mwili wa binadamu.
Assume hujala na hujanywa siku4 jangwani
kipi bora kukutana na katoni la maji ya masafi au katoni la juice za mo passion.
Nimefikiria kuuliza hivo baada ya kusikia kiu na njaa lakini nina 500 mfukon,..
sasa bora kujali kiu kwanza au kunywa hiyo passion maana ina maji + sukari ambayo ni kama chakula kitakupa nguvu?
nina kiu na njaa.Ushasema una kiu sasa mo passion ya nini? Ungesema una njaa hapo hamna cha kukufaa koz hujaweka Mirinda orange kwenye option.
hizi harakati mbona sio hata za siriUna assume kila mtu anajua uzungumziacho?
Anhaa lakn mo passion ina maji mkuu...kwahyo ni double impactKunywa maji Mkuu ...
Hahah umenikumbusha mbali lile fumbo la mama ako mgonjwa na dawa yake ni mafuta ya kula na huna mafuta wala hata mia nyumbani utafanyaje?Unanunua moja nyengine unakopa!
Hebu shushia maandazinina kiu na njaa.
kwani mo passion haina sukari?
Kunywa maji ushushie na maandazGreerings earthlings,
Niko najifunza physiology ya mwili wa binadamu.
Assume hujala na hujanywa siku4 jangwani, kipi bora kukutana na katoni la maji ya masafi au katoni la juice za mo passion.
Nimefikiria kuuliza hivo baada ya kusikia kiu na njaa lakini nina 500 mfukon. Sasa bora kujali kiu kwanza au kunywa hiyo passion maana ina maji + sukari ambayo ni kama chakula kitakupa nguvu?
Mkuu CCM imefanikiwa kuongoza na kuwatawala watanzania kwa kuwa 70% ya watanzania ni wajinga Mtaji wa watawala ni elimu mbovu inayozuia mtu kujitambua, kutambua umuhimu wa siasa, uhuru na haki kuwa ndio tunu za taifa lenye maendeleo watanzana huona siasa ni kama ushabiki Simba na YangaUna assume kila mtu anajua uzungumziacho?