February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
Greerings earthlings,
Niko najifunza physiology ya mwili wa binadamu.
Assume hujala na hujanywa siku4 jangwani, kipi bora kukutana na katoni la maji ya masafi au katoni la juice za mo passion.
Nimefikiria kuuliza hivo baada ya kusikia kiu na njaa lakini nina 500 mfukon. Sasa bora kujali kiu kwanza au kunywa hiyo passion maana ina maji + sukari ambayo ni kama chakula kitakupa nguvu?
Niko najifunza physiology ya mwili wa binadamu.
Assume hujala na hujanywa siku4 jangwani, kipi bora kukutana na katoni la maji ya masafi au katoni la juice za mo passion.
Nimefikiria kuuliza hivo baada ya kusikia kiu na njaa lakini nina 500 mfukon. Sasa bora kujali kiu kwanza au kunywa hiyo passion maana ina maji + sukari ambayo ni kama chakula kitakupa nguvu?