Mbunge ambaye hajagombana na viongozi wa halmashauri hadi mkoa huyo hajafanya kazi, hatakiwi kurudi bungeni.Tunaona Mhe Rais anavyogombana na watendaji mbalimbali, tunamuona Waziri mkuu anavyoita watu wanieleze, tume zinaundwa na matokeo tunayaona, lkn wabinge wetu wao kimyaa hata diwani wanashindwa kumkemea, watumishi mbalimbali wanadhindwa kuwakemea, sasa tukuchague tena ili utusaidie nini, au kwa vile hivi vibarabara 2,3 au visima vya maji vilivyokuja jimboni kingekewa ukizingatia lilikuwa ni ombi lamiaka 20 iliyopita ndio mbunge atajidai navyo kuwa ameleta maendeleo.Ukiwapigia simu hawapokei, kisingizio eti kazi nyingi, sasa tukurudishe kwa lipi?