Uko wapi na hii lock down bubu....!?

Hapo tunaenda pamoja.

🍻

Kumekucha salama, mapambano yanaendelea na jioni mrija kwa umma kama dawa 😜.
Tanzania Tupo Salama, Tunachapa Kazi
Niko Tip Top Watu Wanapambana Tu Na Maisha
 
Mmekutana vimbwetani Jf.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ℍ𝕦π•ͺ𝕦 π•Ÿ π•žπ•₯𝕠π•₯𝕠 𝕨𝕒 π•žπ•’π•žπ•’ π•ͺ𝕦𝕑𝕠 𝕙𝕠𝕀π•₯𝕖𝕝 π•žπ•œπ•¦π•¦
 
Take care of current affairs and get prepared for tomorrow

Member that morrow is full of uncertainities....
[emoji44][emoji44]𝕦𝕣 π•₯𝕣π•ͺπ•šπ•Ÿπ•˜ π•₯𝕠 π•₯𝕙𝕣𝕖𝕒π•₯π•–π•’π•Ÿπ•šπ•Ÿπ•˜ π•žπ•–
 
𝔹𝕒𝕔 𝕦𝕛𝕖 π•Ÿπ•’ π•Šπ•™π•–π•ž .....mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Asante mkuu kwan siwez kuja alone mana mm bado sijafanya maaamz sahihi ya kuwa nae et
 
I see you!!!🀣

Damn....!! You..!πŸ˜…πŸ˜œ

Sasa mbona hukunishika bega...!????

Ulikuwa umejikunyata kwenye kiti, umekunyatwa na mtu au ulikuwa unayarudi magoma?

Mi sehemu yenye mziki siwezi kaa, miguu huwa inawasha kama nimewekewa mota.

Kidogo niimbe jana sema walinikatalia πŸ˜…
 
Kasinde we jiachie tu huko, nipo naandaa vipamba vya kukupima Covid-19 kwenye takroooo

Aahahahahahhahhhahaaa

Na nnavopenda kutembea wizout, wala hutapata tabu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Theengeeeh weeeh, yaaani uache kuniambukiza utamu wako ukodoe macho kabisaaa unanichukua kipimo cha β€˜rona....🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Ntakutekenya hadi usahau kama ilikiwa ufanye vipimo au tulikuwa tunacheza chakacha 🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Ila miguu inauma, jana nilikuwa nacheza na mchuchumio nilifikiri bado nna miaka 26 πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Nahitaji huduma ya kukandwa miguu na sanitaizaya moto πŸ˜…

Uko poa lakini...!?? Missed you 😘
 
Npo Gm hotel kwenye residents zao hapa kichwa kimesizi hapa na pombe za jana
 
Tatizo n kudhungu, kinanisumbua mm jamani😁

Aaahahahhaahhaaaa

Hii lugha tamu sana, baada ya sanitaiza kukolea kwenye blangata...πŸ˜…

Lugha ilikuwa ina floo tuu mdomoni na kwenye keyboard.

Nilikuwa autolugha mode πŸ˜‚

Leo nimerejea lugha mama sanitaiza imeisha kwenye blangata 😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…