Kasie maneno mengi sasa yananipiga usoni. ππ
Hebu andika maneno yalio nyooka yani straight
Corona umesimamisha vyote mpaka pombe hatupati bhanaSafii saanaaa
Maisha lazima yaendelee ππ½.
[emoji16][emoji16]hapana, nilikua naangaza simu nione reply yako, bahati mbaya ulikawia sana! Nikahama kiwanja, .mm nakunywa juice tu[emoji28]Ewaaaahhhhh....
Ulikujaaa...!????
Au ndo wewe ulikuwa bize na simu kila saa unajipiga selfie na watu tofauti tofauti [emoji28]
Thanks mamiii, ngoja tukimbizane na database maana ni ya moto sanaPambana mzee baba...
Make it, youβll enjoy life after that...
Ime-ekisipai ghafla jamanπ€£π€£π€£π€£Aaahahahhaahhaaaa
Hii lugha tamu sana, baada ya sanitaiza kukolea kwenye blangata...π
Lugha ilikuwa ina floo tuu mdomoni na kwenye keyboard.
Nilikuwa autolugha mode π
Leo nimerejea lugha mama sanitaiza imeisha kwenye blangata π
Vya bure vinagharama jamaniππ, ko unga? Sabuni? Nakupasi kupoπ€ͺ, hiv kama amejitoa kunigharamia starehe ya nyama choma na kamilinda pembeni, kweli atashindwa kasabuniπ, jokes tu jmn. Ila kanipa sharti gumu la kwenda na baby mama wangu na sina cjui nikodi tu sehemu but after leo tubaki kama awaliππSaafeeeyyyy
Na wewe ukienda mpelekee zawadi walau mkate au sabuni ya unga π .
Usiende mikono mitupu.
Au ubebe pasi yako ukamnyooshee nguo kama zawadi, atafurahi sana π.