Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
[emoji28][emoji28]Hata wewe?!
Wife, huu urafiki wa utotoni wewe na RRONDO hamkucheza ule mchezo wa baba na mama?Uko wapi RRONDO rafiki yangu toka utotoni. Ingawa ulikulia Mwananyamala enzi zile nikitoka Kwamtogole kuja kwenu nilijiona niko usuani. Ubabe wa watoto wa Kwamtogole hukuuzoe lakini niliwaambia wewe blood damu kwakiyo wasifanye harm.
RRONDO sijakuona jukwaani ni nini kimekusibu? Tunaweza kuwasha bettle yetu mimi na Asprin tuje tukutafute huko uliko.
Sky Eclat wa Kwamtogole
Rudi nyuma shetani...nilisikia amepata aj...
Utasubiri sana...
Utasubiri sana we jamaa...Sijawa specific mama utaniumiza tu jamani
Hapo ndo umekuja kwa specific kwa aspirin
Licha nyama yaweza kumponyoka wakati wowote maana mapengo yamekuwa mapana sana
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hiyo umeona wivu yeye kuitwa?Jamani huyu mtu kila siku si yumo humu?
Au kuna mtu anaactivate acc yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi hilo umbo ulimpa mungu rushwa?Jamani huyu mtu kila siku si yumo humu?
Au kuna mtu anaactivate acc yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wapo kaunta za juu wanasambazianaHaya hapa kuna nini tena
Haahhaha nahakika ulipokuwa unaandika him comment hukuwa s wewe !nimechekaaaaa jaman majina hayaaa
Asprin mchepuko wake ni Sakayo,je wewe mchepuko wako ni nani?au ndiyo gia ya kumtaka RRONDO??[emoji53][emoji53][emoji53]Don’t get me wrong wa kwangu ni Asprin
Wanaume wa Dar bana!!...ina maana hujamuelewa Sky???....Sky anatafuta mchepuko kwa sababu mume wake Asprin ana mchepuko wake tayari ambae ni Sakayo,hiyo ni gia tuuu!!....Kama hujui kusoma hata picha huoni???!Nisaidie kushangaa. Nilipoona huu uzi nilistaajabu maanake wakati ananiulizia nimepost humu chit chit, mmu, jukwaa la siasa,biashara na habari mchanganyiko. Ilibidi nikae kimya niangalie nini kinaendelea maanake mimi mwenyewe nilimuulizia mtu aliepigwa ban uzi ukabadili muelekeo na kuwa vita binafsi!
Wewe cheka tuu mie sikuelewi ujueHaahhaha nahakika ulipokuwa unaandika him comment hukuwa s wewe !nimechekaaaaa jaman majina hayaaa
Jamani mbitiNey pombe sio nzuri kabisa Si uache jaman! Hahahahahaaha
Unywaji kupita kiasi ni hatari kwa afya yako,Ney pombe sio nzuri kabisa Si uache jaman! Hahahahahaaha