Uko wapi upinzani imara wa vyama vya upinzani?

Uko wapi upinzani imara wa vyama vya upinzani?

mbinguni

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
2,759
Reaction score
1,061
Tangu nchi hii iingie kwenye siasa za vyama vingi kumekuwa na kanyaga twende ya vyama vya upinzani kuzuiwa kufanya siasa zao kwa uwanja usio sawa. Hadi leo,chama tawala kimeweka mazingira magumu mno kwa vyama husika kufanya siasa ya kweli ili kuweza kupata mbadala wa chama tawala.

Iko wapi njia mbadala ya kupata chama mbadala kitakachoweza kutoa changamoto na hatimaye kuweza kuwashawishi wapiga kura kukichagua kuongoza nchi hii?
 
CCM tumeiua chadomo. msigwa kakamilisha mission kwa ustadi mkubwa. Mwenyekiti aliyepo hana uwezo hata wa kuongoza kikundi cha kwaya.
 
Ni kweli. Lakini, mazingira ya kisiasa yanaruhusu? Kama hayaruhusu,tufanyeje ili tufanikiwe?
Mara nyingi wanadamu tunataka ukamilifu sehemu ambazo tunajua kabisa ukamilifu hauwezekani... Dosari na mapungufu ni vitu vipo tu tangu tunazaliwa hivyo kila mtu atembee na na akili zake kichwani
 
Tangu nchi hii iingie kwenye siasa za vyama vingi kumekuwa na kanyaga twende ya vyama vya upinzani kuzuiwa kufanya siasa zao kwa uwanja usio sawa. Hadi leo,chama tawala kimeweka mazingira magumu mno kwa vyama husika kufanya siasa ya kweli ili kuweza kupata mbadala wa chama tawala.

Iko wapi njia mbadala ya kupata chama mbadala kitakachoweza kutoa changamoto na hatimaye kuweza kuwashawishi wapiga kura kukichagua kuongoza nchi hii?
Kwani tatizo ni vyama mbadala kushawishi wapiga kura, ama ni kura za wananchi kuheshimiwa?
 
Kwani tatizo ni vyama mbadala kushawishi wapiga kura, ama ni kura za wananchi kuheshimiwa?
Zitaheshimiwa vipi kama hakuna njia mbadala? Ipi njia mbadala ya hizo kura kuheshimiwa?
 
CCM tumeiua chadomo. msigwa kakamilisha mission kwa ustadi mkubwa. Mwenyekiti aliyepo hana uwezo hata wa kuongoza kikundi cha kwaya.
Hilo la kuia cdm limeshashindikana, vyombo vya dola pekee ndio vinawapa jeuri ya muda mfupi.
 
Tangu nchi hii iingie kwenye siasa za vyama vingi kumekuwa na kanyaga twende ya vyama vya upinzani kuzuiwa kufanya siasa zao kwa uwanja usio sawa. Hadi leo,chama tawala kimeweka mazingira magumu mno kwa vyama husika kufanya siasa ya kweli ili kuweza kupata mbadala wa chama tawala.

Iko wapi njia mbadala ya kupata chama mbadala kitakachoweza kutoa changamoto na hatimaye kuweza kuwashawishi wapiga kura kukichagua kuongoza nchi hii?
kwani hao Wananchi wamekuwa hawachagui Chama mbadala au ni Nape Style ndio inayoleta shida ??

Kwanza kuwepo na uwanja sawa kwa Vyama vyote kufanya Siasa kisha mambo yote yatakaa sawa !!
 
Hilo la kuia cdm limeshashindikana, vyombo vya dola pekee ndio vinawapa jeuri ya muda mfupi.
Amini nakwambia CDM aliyekuwa anasumbua ni Mbowe tu. Intelligent, ana maokoto na connection ndani na nje ya nchi. Kuumua kobe inahitaji timing.
 
Tangu nchi hii iingie kwenye siasa za vyama vingi kumekuwa na kanyaga twende ya vyama vya upinzani kuzuiwa kufanya siasa zao kwa uwanja usio sawa. Hadi leo,chama tawala kimeweka mazingira magumu mno kwa vyama husika kufanya siasa ya kweli ili kuweza kupata mbadala wa chama tawala.

Iko wapi njia mbadala ya kupata chama mbadala kitakachoweza kutoa changamoto na hatimaye kuweza kuwashawishi wapiga kura kukichagua kuongoza nchi hii?
Njia ni moja tu na rahisi sana,

ni kujitenga na vibaka na matepeli wa siasa,

Lakini pia kuepuka kutapeliwa pesa na kudanganywa eti msishiriki uchaguzi na kutotumia uhuru na haki za msingi za kila mTanzania kuchagua kiongozi anae mtaka.

kumbuka vibaka wengi wa kisiasa hua familia na makazi yao yapo nje ya nchi 🐒
 
Mamako n
Machafuko.
A mkeo mwenye mkia na watt uwaweke mbele watu wabakeeeee halafu uletew serikal safi hv hua shuleni mlienda kusoma ujinga hii terminology mnajua kuiandika tu hamjawahi ishuhudia zaid ya kwenye tv
 
Back
Top Bottom