Uko wapi utamu wa mke wa mtu? Jamaa nimemshauri hataki kuacha

Hahahaha kwamba aludi Tena amalize na masters kabisaaa😄😄😀

Acha ajigongee tu sas Kam mme wake mwenyewe zumbukuku anaonyeshwa asome pale yey anasoma kidore
 
Kaka usiseme, mwanamke anaweza kuliwa mchana na jioni ukamla usijue!!! achana na sisi viumbe, narudia achana na sisi ohoo!!!
 

Hana gharama huo ndo utamu wake mkubwa kaka
 
Siku si nyingi huyo jamaa yako atapigwa miti,mwambia atembee na KY jelly kabisa kwani kuliwa lazima ataliwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…