Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Haiwezekani kila kocha anayekuja Kufundisha Simba basi ni lazima yeye awe msaidizi , hata kocha mpya akitimuliwa ila Matola anabaki , kubaki kwake kunamaanisha kwamba yeye uwezo wake ni mkubwa .
Sasa tunasema hivi Matola achukue ukocha kamili wa Timu ya Simba ili tukate mzizi wa fitna .
Sasa tunasema hivi Matola achukue ukocha kamili wa Timu ya Simba ili tukate mzizi wa fitna .