Ukocha wa Simba aachiwe Matola

Ukocha wa Simba aachiwe Matola

Basi kama hana mpango wa kusoma ili apate hiyo leseni atoke hapo ili kocha atakayekuja aje na msaidizi weke, yeye atafute team ambazo hazina mpango wa kushiriki kimataifa.
Sio kwamba hanna mpango, haya mambo yataka kujipangansio wakurupuka tuu. Wee kwa mfano huko kwa wenyewe mtu kama zola anafanya na anafeli anarudia mara mbili. Sio rahisi kihivyo. Kuna hadi paper unatakiwa kuandika na ukaitetee.
 
Back
Top Bottom