Kupigania katiba nyingine ni kulenga kuleta mabadiliko kamili ya mfumo wa utawala.
Jukumu hili ni gumu na zito kuliko kumfurusha mkoloni mlowezi halisi.
Kwa hakika hawakukosea PAC, SA na kauli mbiu yao pendwa:
"One settler, one bullet."
Maneno matupu yakiwamo ya kuwataka wafanye hili au lile hayawezi kubadili kitu. Kwani wasipofanya itakuwa je?
Raila anasema watu 1m wana mtosha sana. Shikamoo Fidel:
Sisi tunataka hadi tuwe wangapi? Siyo kuwa wenye mashaka, waoga, wajinga na wa namna hiyo wapumzike tu?
NInakazia: maridhiano na wasioheshimu haki za wengine kwa maslahi gani?
Jukumu hili ni gumu na zito kuliko kumfurusha mkoloni mlowezi halisi.
Kwa hakika hawakukosea PAC, SA na kauli mbiu yao pendwa:
"One settler, one bullet."
Maneno matupu yakiwamo ya kuwataka wafanye hili au lile hayawezi kubadili kitu. Kwani wasipofanya itakuwa je?
Raila anasema watu 1m wana mtosha sana. Shikamoo Fidel:
Sisi tunataka hadi tuwe wangapi? Siyo kuwa wenye mashaka, waoga, wajinga na wa namna hiyo wapumzike tu?
NInakazia: maridhiano na wasioheshimu haki za wengine kwa maslahi gani?