Point sanaEnyi Wapiga Kura wa CHADEMA tuleteeni TAL kwa kuwa ndio mtu SAHIHI wa kuleta MATOKEO CHANYA ya kutuokoa Watanzania zidi ya UDIKTETA. Mkimrejesha mtatufanya wengi turejeshe nia ya kupiga kura 2025. Ni mtu sahihi wa kutetea wanyonge wa Afrika zidi ya MADIKTETA kama KAGAME na MUSEVENI kupitia vikao vya EAC, SADC na Umoja wa Afrika (AU).
unawashitua kina museveni na kagame wamuone lissu ni mpinzani wao na watake kuingezea nguvu ccm wakabiliane naye asifike to the top maana atawachalenji namna ya kutoa demokrasia katika nchi zao. Nadhani nchi nyingi zinafuatilia siasa za chadema na tanzania kwa ujumla maana zina impact kwa nchi zaoEnyi Wapiga Kura wa CHADEMA tuleteeni TAL kwa kuwa ndio mtu SAHIHI wa kuleta MATOKEO CHANYA ya kutuokoa Watanzania zidi ya UDIKTETA. Mkimrejesha mtatufanya wengi turejeshe nia ya kupiga kura 2025. Ni mtu sahihi wa kutetea wanyonge wa Afrika zidi ya MADIKTETA kama KAGAME na MUSEVENI kupitia vikao vya EAC, SADC na Umoja wa Afrika (AU).
Nafikiri watanzania ni hatari kuliko Kagame na MsevenEnyi Wapiga Kura wa CHADEMA tuleteeni TAL kwa kuwa ndio mtu SAHIHI wa kuleta MATOKEO CHANYA ya kutuokoa Watanzania zidi ya UDIKTETA. Mkimrejesha mtatufanya wengi turejeshe nia ya kupiga kura 2025. Ni mtu sahihi wa kutetea wanyonge wa Afrika zidi ya MADIKTETA kama KAGAME na MUSEVENI kupitia vikao vya EAC, SADC na Umoja wa Afrika (AU).
Ujumbe hTanzania kuna udikteta gani?.Acha akili za kitoto aise.jipe muda wakujisemea mwenyewe alafu jiulize je nikweli hayo unayoyataka au kuyafikiria yapo au ni hisia zako zinakusumbua.Alafu lissu hawezi kumwambia kitu ata makonda tu ndo uje uwazungumzie kina museveni.Hii mihemko yenu haiwezi kukwamua nchi labda ziwe ni story za vijiwe vya kahawa.
πππ Eti Tundu anaweza kuwafanya Kagame na Museveni wabadilike!!Enyi Wapiga Kura wa CHADEMA tuleteeni TAL kwa kuwa ndio mtu SAHIHI wa kuleta MATOKEO CHANYA ya kutuokoa Watanzania zidi ya UDIKTETA.
Mkimrejesha mtatufanya wengi turejeshe nia ya kupiga kura 2025. Ni mtu sahihi wa kutetea wanyonge wa Afrika zidi ya MADIKTETA kama KAGAME na MUSEVENI kupitia vikao vya EAC, SADC na Umoja wa Afrika (AU).
.....Ana uwezo wa kuwaambia waache udikteta bila kuwaogopa....Kumbuka hadi sasa hakuna kiongozi yeyote aliyeweza kuongelea uchaguzi HURU na HAKI kwa Mu7 na Kagame....Ninamuona TAL anaweza sababu MBOWE kwa kiasi kikubwa amemsaidia Lissu....Hata kuokoa maisha yake lakini TAL alipoona FAM anatoka nje ya reli akaamua kugombea mafasi ya Mwenyekiti.............Kama wewe ni CHAWA wa FAM au MAMA hautampenda TAL..sababu yeye ni dawa ya CHAWA na UCHAWAπππ Eti Tundu anaweza kuwafanya Kagame na Museveni wabadilike!!
Ya kufunguliwa mwaka hii so hilarious
Nakubaliana na wewe sababu tunaendekeza UCHAWA..Nafikiri watanzania ni hatari kuliko Kagame na Mseven
museveni na kagame wamuone lissu ni mpinzani wao na watake
INTELEJENSIA YA UGANDA INAVYOFANYA KAZI:
Rais Yoweri Museveni akielezea kuwa vyombo vyake vya intelejensia vinampa taarifa zote ikiwemo za kutoka nchi za jirani na zile za mbali :
View: https://m.youtube.com/watch?v=ROi04uOHoKU kuhusu mbunge Babu Owino aliyemchambua Rais wa Uganda Yoweri Museveni? Akinukuu kile alichokiita ripoti za kijasusi, Kiongozi wa Uganda alimpigia simu mbunge huyo wa Embakasi Mashariki Nchini kenya akisema Babu Owino amekuwa akifanya kazi na watu wanaoipinga serikali yake....
Waropokaji wengi zaidi ya Lissu walioshakuwepo na kupita na Afrika ikabaki ile ile. Julius Malema na kuropoka kwake kasaidia nini Afrika Kusini?Enyi Wapiga Kura wa CHADEMA tuleteeni TAL kwa kuwa ndio mtu SAHIHI wa kuleta MATOKEO CHANYA ya kutuokoa Watanzania zidi ya UDIKTETA.
Mkimrejesha mtatufanya wengi turejeshe nia ya kupiga kura 2025. Ni mtu sahihi wa kutetea wanyonge wa Afrika zidi ya MADIKTETA kama KAGAME na MUSEVENI kupitia vikao vya EAC, SADC na Umoja wa Afrika (AU).