Ukombozi wa nchi unahitaji watu waliodhamiria

Ukombozi wa nchi unahitaji watu waliodhamiria

Mkuu mapinduzi ya namna gani unayo yazungumzia kwa hapa taifani :- i, Civil revolution au
ii, Millitary revolution

Kwa maana halisi ya ukombozi kama ilivyo kwenye mada msingi wetu ni watu. Tunataka mabadiliko kwa mujibu wa katiba.

Kwa mujibu wa katiba mabadiliko ni haki. Atakaye chagua shari hatakuwa sisi.
 
Viongozi waliopo sasa wanaakisi jamii kubwa ya wanaowaongoza

Kauli yako hiyo haina usahihi. Tofautisha vyombo vya dola na jamii hasa ambayo Iko disorganized.

IMG_20220928_112538_686.jpg


Tofautisha utawala madarakani kutegemeana na wanaozishikilia (proteges).

Ndiyo maana Kuna police states mkuu.

Mikakati ni pamoja na kutambua strengths, weaknesses na options zetu. Hatuyawezi haya kwenye lindi la watu wasio na dhamira ya dhati.

Inawezekana, penye nia pana njia.
 
Jinsi tawala dhalimu zinavyowarubuni raia



  • Kiini macho cha mazingaombwe (fake)
  • Kutumia maadui maruhani wasiokuwepo kuwatisha raia kuwa bila CCM mnaadui hawa wasiokuwepo wataichukua nchi
  • Kushika hatamu za vyama vya waalimu, TLS, vyama vya ushirika kwa kuweka mapandikizi ya viongozi karagosi
  • Kujipenyeza ndani ya viongozi wa kiimani ili kudhoofisha uwezo wao wa kukemea maovu wanayotenda watawala
  • Kuwagawa ktk makundi maalum ya bodaboda, machinga, mamantilie kina mama, vijana, makundi ya wanafunzi vyuo vikuu kisha kuwaahidi mikopo nafuu
  • Kuanzisha vyama feki vya kisiasa vilivyosajiliwa
  • Baada ya kuwagawa ktk vikundi hivyo vya kijamii na kiimani, watawala wanajenga mazingira ya wanajamii hao kutoamini baina yao
  • Tunaona jinsi watanzania wasivyojaliana, watu wakipigwa risasi au kuonewa kwa aina yoyote hawapazi sauti kwani wanajifariji jambo hilo halijamgusa yeye binafsi au kundi lake alilotegewa na watawala
  • Vikundi hivyi vya kijamii vilivyotengenezwa na kufadhiliwa na CCM wamewaaminisha ukuu wa chama na kuwa ukiwa nje ya jumuiya za chama cha CCM na makundi ya kijamii CCM waliyotegeneza hutaweza kutoboa maishani, watu sasa wanaishi kwa matumaini kuwa yupo bwana mkubwa CCM chama kimoja-dola mwenye nguvu kuu ya kuwalinda, kuwapa ajira na mikopo
  • Baada ya kuwatawala katika vikundi vidogo vinavyo hasimiana kwa kuamini fitina za chama-dola, kilichobaki kwa CCM ni kujaribu kuufungia uhuru wa kuongea ukweli
  • Vyombo vya habari vinasakamwa, uhuru wa habari kuminywa.
  • Wizara ya habari ndiyo inakuwa chombo pekee cha kusambaza habari za 'ukweli' kwa jamii hii ya kiTanzania iliyovunjwa vibande vingi.
  • Mtawala sasa mambo yake yanaenda vizuri maana hakuna makundi huru ya waalimu, wahadhiri wa vyuo vikuu, vyama vya wafanyakazi, wakulima n.k walio huru kupaza sauti zao.
  • Wananchi mmoja mmoja wakipaza sauti vipi gari za kifahari za V8 zinunuliwe kwa ajili ya vigogo wa serikali kwa tozo na kodi zetu, wapaza sauti hao wachache wananyamazishwa kuwa watapungunza maandazi na chai wala siyo kusitisha ununuzi wa magari ya V8
 
Kwa maana halisi ya ukombozi kama ilivyo kwenye mada msingi wetu ni watu. Tunataka mabadiliko kwa mujibu wa katiba.

Kwa mujibu wa katiba mabadiliko ni hali. Atakaye chagua shari hatutakuwa sisi.
Una amini Kuna hao watu wa kuweza kufanya civil revolution ?
 
Watanzania siyo watu wa mikiki mikiki. Nikupe mfano mwingine. Kule Uganda kuwaamata wanasiasa maarufu kama Kiza Besigye ama Boby Wine inakuwa balaa kweli kweli na polisi wengi hufariki. Maandamano huendeshwa nchi nzima kuilazimisha serikali kuwaachia huru.

Hapa kwetu Tanzania wanasiasa maarufu mfano Mbowe, hukamatwa kama Panya-road tu nchi inatulia kana kwamba hakuna Jambo kubwa lililotokea. Hao ndiyo watanzania.

Viongozi wetu wanaboronga, tena wanaboronga kweli kweli lkn watanzania wanagugumia na kusemea vifuani mwao tu.

Hebu tukae chini tubuni mbinu itakayowaamsha watanzania wapiganie haki zao na kuifanya serikali iwe inawaogopa wananchi. Tusiige ya nchi za watu yasiweza kufanya kazi hapa nchini.

Kuna hatua inabidi kuzivuka. Tupige hatua. Siyo kuongea yale yale kila siku mkuu.

Ni wananchi hawa hawa walikuwa JKNIA kumpokea Lissu kinyume cha matakwa ya jiwe akiwa kwenye ubora wake.

Ni wananchi hawa hawa waliosimama kidete na Lissu kipindi chote cha kampeni, ikiwamo kwenye sekeseke la haja kiluvya.

Ni wananchi hawa hawa waliochanga mamilioni ya pesa bila kujali hali zao, kuwaokoa wakiwamo kina Mdee ndani ya muda mfupi mno.

Ni wananchi hawa hawa ndiyo wa join the chain.

Mifano Iko mingi.

Labda kama ni kutaka kuwakejeli sasa, wananchi hawa?

NIsiache kusema Lissu alisimamishwa kampeni kinyume cha katiba. Mapendekezo yetu wananchi yalikuwa kutokutambua kusimamishwa huko. Viongozi wakaona waheshimu kusimamishwa.

Funzo: tunapaswa kuisimamia katiba muda wote. Tunapaswa kuzisimamia haki zote hata kama hatuna maslahi nazo.

Kama tunataka Katiba Mpya, Tusiionee "Haya" Haki ya awaye yote

Compromise kama hizi asili yake ni uwepo watu wasiokuwa na dhamira tunayongelea hapa.

Ndani ya mafukuto yenye baadhi viongozi kukamatwa, unapatikana wapi ujasiri wa kuwa carried kwenye hadithi za simba na yanga, arsenal na man u, nk hasa kutokea kwa viongozi waandamizi?

Kwa hakika tukiwa na viongozi mfano wa kwenye orodha Ile ambao nyuso zao na hata kucheka, kutabasamu, kusema, ku comment nk kwao vinaakisi ukombozi kuwa ndiyo kipaumbele, mbona tutafika tu?
 
Una amini Kuna hao watu wa kuweza kufanya civil revolution ?

Ifahamike kuwa tunataka mabadiliko.

Lenye dharura sana ni katiba mpya. Hatujaribu kumtoa awaye yote madarakani na hasa akiitambua kirahisi nia yetu hii iliyo njema.

Kudai katiba mpya ni haki yetu. Akiiridhia kwa dhati yake, udhia uko wapi?

Kwanini tusiwepo wa kutosha kufanikisha hilo kupatikana.

Zingatia mahitaji haya ya ukombozi leo ni tofauti na ya 1960s kama nilivyomjibu bwana Sexless mapema.
 
Jinsi tawala dhalimu zinavyowarubuni raia



  • Kiini macho cha mazingaombwe (fake)
  • Kutumia maadui maruhani wasiokuwepo kuwatisha raia kuwa bila CCM mnaadui hawa wasiokuwepo wataichukua nchi
  • Kushika hatamu za vyama vya waalimu, TLS, vyama vya ushirika kwa kuweka mapandikizi ya viongozi karagosi
  • Kujipenyeza ndani ya viongozi wa kiimani ili kudhoofisha uwezo wao wa kukemea maovu wanayotenda watawala
  • Kuwagawa ktk makundi maalum ya bodaboda, machinga, mamantilie kina mama, vijana, makundi ya wanafunzi vyuo vikuu kisha kuwaahidi mikopo nafuu
  • Kuanzisha vyama feki vya kisiasa vilivyosajiliwa
  • Baada ya kuwagawa ktk vikundi hivyo vya kijamii na kiimani, watawala wanajenga mazingira ya wanajamii hao kutoamini baina yao
  • Tunaona jinsi watanzania wasivyojaliana, watu wakipigwa risasi au kuonewa kwa aina yoyote hawapazi sauti kwani wanajifariji jambo hilo halijamgusa yeye binafsi au kundi lake alilotegewa na watawala
  • Vikundi hivyi vya kijamii vilivyotengenezwa na kufadhiliwa na CCM wamewaaminisha ukuu wa chama na kuwa ukiwa nje ya jumuiya za chama cha CCM na makundi ya kijamii CCM waliyotegeneza hutaweza kutoboa maishani, watu sasa wanaishi kwa matumaini kuwa yupo bwana mkubwa CCM chama kimoja-dola mwenye nguvu kuu ya kuwalinda, kuwapa ajira na mikopo
  • Baada ya kuwatawala katika vikundi vidogo vinavyo hasimiana kwa kuamini fitina za chama-dola, kilichobaki kwa CCM ni kujaribu kuufungia uhuru wa kuongea ukweli
  • Vyombo vya habari vinasakamwa, uhuru wa habari kuminywa.
  • Wizara ya habari ndiyo inakuwa chombo pekee cha kusambaza habari za 'ukweli' kwa jamii hii ya kiTanzania iliyovunjwa vibande vingi.
  • Mtawala sasa mambo yake yanaenda vizuri maana hakuna makundi huru ya waalimu, wahadhiri wa vyuo vikuu, vyama vya wafanyakazi, wakulima n.k walio huru kupaza sauti zao.
  • Wananchi mmoja mmoja wakipaza sauti vipi gari za kifahari za V8 zinunuliwe kwa ajili ya vigogo wa serikali kwa tozo na kodi zetu, wapaza sauti hao wachache wananyamazishwa kuwa watapungunza maandazi na chai wala siyo kusitisha ununuzi wa magari ya V8

Jinsi tawala dhalimu zinavyowarubuni raia



  • Kiini macho cha mazingaombwe (fake)
  • Kutumia maadui maruhani wasiokuwepo kuwatisha raia kuwa bila CCM mnaadui hawa wasiokuwepo wataichukua nchi
  • Kushika hatamu za vyama vya waalimu, TLS, vyama vya ushirika kwa kuweka mapandikizi ya viongozi karagosi
  • Kujipenyeza ndani ya viongozi wa kiimani ili kudhoofisha uwezo wao wa kukemea maovu wanayotenda watawala
  • Kuwagawa ktk makundi maalum ya bodaboda, machinga, mamantilie kina mama, vijana, makundi ya wanafunzi vyuo vikuu kisha kuwaahidi mikopo nafuu
  • Kuanzisha vyama feki vya kisiasa vilivyosajiliwa
  • Baada ya kuwagawa ktk vikundi hivyo vya kijamii na kiimani, watawala wanajenga mazingira ya wanajamii hao kutoamini baina yao
  • Tunaona jinsi watanzania wasivyojaliana, watu wakipigwa risasi au kuonewa kwa aina yoyote hawapazi sauti kwani wanajifariji jambo hilo halijamgusa yeye binafsi au kundi lake alilotegewa na watawala
  • Vikundi hivyi vya kijamii vilivyotengenezwa na kufadhiliwa na CCM wamewaaminisha ukuu wa chama na kuwa ukiwa nje ya jumuiya za chama cha CCM na makundi ya kijamii CCM waliyotegeneza hutaweza kutoboa maishani, watu sasa wanaishi kwa matumaini kuwa yupo bwana mkubwa CCM chama kimoja-dola mwenye nguvu kuu ya kuwalinda, kuwapa ajira na mikopo
  • Baada ya kuwatawala katika vikundi vidogo vinavyo hasimiana kwa kuamini fitina za chama-dola, kilichobaki kwa CCM ni kujaribu kuufungia uhuru wa kuongea ukweli
  • Vyombo vya habari vinasakamwa, uhuru wa habari kuminywa.
  • Wizara ya habari ndiyo inakuwa chombo pekee cha kusambaza habari za 'ukweli' kwa jamii hii ya kiTanzania iliyovunjwa vibande vingi.
  • Mtawala sasa mambo yake yanaenda vizuri maana hakuna makundi huru ya waalimu, wahadhiri wa vyuo vikuu, vyama vya wafanyakazi, wakulima n.k walio huru kupaza sauti zao.
  • Wananchi mmoja mmoja wakipaza sauti vipi gari za kifahari za V8 zinunuliwe kwa ajili ya vigogo wa serikali kwa tozo na kodi zetu, wapaza sauti hao wachache wananyamazishwa kuwa watapungunza maandazi na chai wala siyo kusitisha ununuzi wa magari ya V8


Ulioorodhesha ni ukweli ulio bayana unaojulikana.

Kuuvunja mnyororo huo inataka dhamira kweli kweli. Haiwezi kuwa mchezo mchezo hata kidogo.

Iangalie orodha ya viongozi kwenye mada wenye kuweza kuuvaa uthubutu unaotakiwa.

Tunahitaji dhamira kamili na mikakati huku tukifahamu nguvu zao/zetu, unyonge wao/wetu na options zao/zetu.

Tunashindwa vipi tukiwa na ufahamu wote huu?
 
Ulioorodhesha ni ukweli ulio bayana unaojulikana.

Kuuvunja mnyororo huo inataka dhamira kweli kweli. Haiwezi kuwa mchezo mchezo hata kidogo.

Iangalie orodha ya viongozi kwenye mada wenye kuweza kuuvaa uthubutu unaotakiwa.

Tunahitaji dhamira kamili na mikakati huku tukifahamu nguvu zao/zetu, unyonge wao/wetu na options zao/zetu.

Tunashindwa vipi tukiwa na ufahamu wote huu?


 
Jinsi tawala dhalimu zinavyowarubuni raia

  • Kiini macho cha mazingaombwe (fake)
  • Kutumia maadui maruhani wasiokuwepo kuwatisha raia kuwa bila CCM mnaadui hawa wasiokuwepo wataichukua nchi
  • Kushika hatamu za vyama vya waalimu, TLS, vyama vya ushirika kwa kuweka mapandikizi ya viongozi karagosi
  • Kujipenyeza ndani ya viongozi wa kiimani ili kudhoofisha uwezo wao wa kukemea maovu wanayotenda watawala
  • Kuwagawa ktk makundi maalum ya bodaboda, machinga, mamantilie kina mama, vijana, makundi ya wanafunzi vyuo vikuu kisha kuwaahidi mikopo nafuu
  • Kuanzisha vyama feki vya kisiasa vilivyosajiliwa
  • Baada ya kuwagawa ktk vikundi hivyo vya kijamii na kiimani, watawala wanajenga mazingira ya wanajamii hao kutoamini baina yao
  • Tunaona jinsi watanzania wasivyojaliana, watu wakipigwa risasi au kuonewa kwa aina yoyote hawapazi sauti kwani wanajifariji jambo hilo halijamgusa yeye binafsi au kundi lake alilotegewa na watawala
  • Vikundi hivyi vya kijamii vilivyotengenezwa na kufadhiliwa na CCM wamewaaminisha ukuu wa chama na kuwa ukiwa nje ya jumuiya za chama cha CCM na makundi ya kijamii CCM waliyotegeneza hutaweza kutoboa maishani, watu sasa wanaishi kwa matumaini kuwa yupo bwana mkubwa CCM chama kimoja-dola mwenye nguvu kuu ya kuwalinda, kuwapa ajira na mikopo
  • Baada ya kuwatawala katika vikundi vidogo vinavyo hasimiana kwa kuamini fitina za chama-dola, kilichobaki kwa CCM ni kujaribu kuufungia uhuru wa kuongea ukweli
  • Vyombo vya habari vinasakamwa, uhuru wa habari kuminywa.
  • Wizara ya habari ndiyo inakuwa chombo pekee cha kusambaza habari za 'ukweli' kwa jamii hii ya kiTanzania iliyovunjwa vibande vingi.
  • Mtawala sasa mambo yake yanaenda vizuri maana hakuna makundi huru ya waalimu, wahadhiri wa vyuo vikuu, vyama vya wafanyakazi, wakulima n.k walio huru kupaza sauti zao.
  • Wananchi mmoja mmoja wakipaza sauti vipi gari za kifahari za V8 zinunuliwe kwa ajili ya vigogo wa serikali kwa tozo na kodi zetu, wapaza sauti hao wachache wananyamazishwa kuwa watapungunza maandazi na chai wala siyo kusitisha ununuzi wa magari ya V8

Kiini macho cha Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora chajadiliwa kwa kina:



 
Kiini macho cha Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora chajadiliwa kwa kina:





Tunayo basis ya kutosha kama kwenye suala la haki tuna msimamo mmoja usioyumba. Kuwahusu hawa kulikuwa na uzi huu:

Tuwakomalie Polisi kuwarejesha watuhumiwa wakiwa hai

Zingatia maudhui yake na lini uliandikwa.
 
Bravo Zero Lima.... , this is Tango and Pori do you read me..
awaiting green light , we are set, I repeat we are set..

1664739001102.png
 
Ni kweli kabisa. Bila kuwa na watu wachache wenye moyo mmoja na ujasiri unaofanana, hakuna ukombozi utakaokuja.
Lakini pia ikumbukwe kuwa, UKOMBOZI unaopatikana bila DAMU, huo ni ukombozi wa Bandia.
Siku zote ukombozi kamili huambatana na Damu. Hayo si maneno yangu. Ni maneno ya Historia.
Bila ya kujitoa sadaka kwa ajili ya wengi, hakuna ukombozi utakaopatikana milele.
 
Hata Rais Samia hahitaji kuungwa mkono na wanaccm wote ili kutuletea Tanzania mpya ya maendeleo na haki za watu
Mchakato wa kuitoa nchi katika hatua moja duni kwenda katika hatua nyingine bora zaidi kwa jina la ukombozi, unahitaji watu waliodhamiria kweli kweli.

Jukumu hili haliwezi kuwa la kila mtu. Nyuso za watu hawa, maneno, (nyuzi, posts) na matendo yao hujionyesha.

Inawezekana namna gani kuwasikia Nyerere, Museveni, Kagame, Sokoine, Putin, Mandela, Lissu, Mbowe, Mangula, Mtikila, Seif, Malema, Garang, Saddam, Milosevic, Thatcher, Gadaffi, XI, Mengistu, Mugabe, Rawlings, Gandhi, Castro, Obama, Kim na wa namna hiyo wakiwa carried kwenye mizaha au hadithi za mbususu, simba na yanga, man city na man u, vumbi la congo na ya namna hiyo?

Pana haja ya kukatumia ka litmus haka ka kupima kudhamiria, kuwaengua wengine kwenye harakati hizi ili kutosumbuka na kupoteza muda na watu wasiojitambua.

View attachment 2374229

Kuikataa mikono yenye damu hakuwezi kuwa nusu nusu.

"Mtu hawezi kuwa mguu mmoja ndani na mwingine nje."

Ukombozi hauhitaji watu wengi. Wasanii na waachwe kuendelea na usanii wao kwa raha zao.

Ukombozi hawezi kuachiwa Mungu kutuletea bila ya sisi kuchukua hatua za makusudi.

View attachment 2374234

Ni heri kuwa na watu wachache waliodhamiria kuliko kuwa na lundo la waoga, wajinga, wapumbavu au wasaka fursa.

Ni vyema kujipima mwenyewe kutambua wewe ni asset au ni liability tukapeana nafasi kiroho safi.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Hata Rais Samia hahitaji kuungwa mkono na wanaccm wote ili kutuletea Tanzania mpya ya maendeleo na haki za watu

Hakuungwa mkono Nyerere na watanzania wote kwenye kudai uhuru.

Hakuungwa mkono Mandela na wa SA wote.

Hataungwa mkono yeyote na wana Chadema wote kudai katiba mpya.

Hataungwa mkono yeyote na watanzania wote kwenye lolote hata kama ni kuwapa chakula au pesa.

Ndivyo ilivyo.

Ukweli mchungu Tanzania itakombolewa na waliodhamiria.
 
Kuita andiko la mtu ni RUBBISH bila kuelezea maoni yako ndio URUBBISH wenyewe huo.

Andiko linaitisha watu kujitathmini wenyewe. Ukiona hivyo atakuwa kalitambua kundi lake anakostahili.
 
Back
Top Bottom