This world is full of wonders! Unajua najiulizaga, why Mungu alipoona kuwa-control adamu na hawa tu imekuwa issue, asingewapa simba kitoweo na human race ikaishia hapo?! What made Him think tukikombolewa tu kwa damu tutafaa kwa matumizi ya ufalme?
Sorry, tunajadili nini vilee?
Sasa kama ni mchumba, hilo neno "Ukome kuniita mimi mkeo" limetoka wapi? nadhani huyo mchumba atakuwa alikusudia kumtumia mume wake wa zamani waliotalikiana, maana mtu hawezi kujiita mke wa mtu fulani pasipo ndoa, nijuavyo mimi. Othewise atabaki kuwa mchumba au mke mtarajiwa tu. Inawezekana itakuw aimetumwa wrong number.
For sure huyo ameshapata mwingine, kwenye mapenzi hakuna utani wa kipuuzi kama huo, utani wa kutishiana kuachana ndio utani gani huo?