DASA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,031
- 302
Hayo ndio maneno aliyotoa kwa hasira baa-medi mmoja kwa jamaa ambaye alikuwa analazimisha penzi kwa huyo baa-medi. Baa-medi akaongeza kwamba 'mi nimeokoka, na si kwamba napenda kufanya kazi kwenye mazingira haya, na sio kwamba kuwa baa-medi ndio umalaya, tafadhali tuheshimiane, mi nipo kazini hapa natafuta liziki ya familia yangu kama wewe unapokuwa ofisini kwako".