Ukomo mkataba bandari utawekwa kwenye mikataba ya miradi

kalacha mateo

Senior Member
Joined
Sep 27, 2021
Posts
119
Reaction score
240
Mkurugenzi Mkuu wa TCAA, Hamza Johari akitoa ufafanuzi kuhusu suala la ukomo wa muda kwa mikataba ya uendelezaji na uboreshaji ufanisi wa bandari kati ya Tanzania na Dubai.


Your browser is not able to display this video.
 
Nilifatilia interview yao leo asubuhi kwenye PB ya Clouds fm. Binafsi niliwaelewa sana tu.
 
Kitu hamuelewi ni kwamba?, Hiyo mikataba ya miradi hamjaiona lakini huu mkataba mama hauna kikomo hivyo hao jamaa wanaweza waka wanakodisha tu hadi maisha.

Wanaweza wakafanya miradi maisha yote bila kikwako kwa sababu mkataba mama unasema hivyo.

Hayo mengine ni mbwembwe tu. Mnataka kutuweka kwenye matatizo makubwa.

Msitumie Nguvu Sana.

2025 MTAKUJA KULIA UJIE.
 
Rostam huyu hapa
 

Attachments

  • 20230620_163657.jpg
    64.9 KB · Views: 6
  • 20230620_164546.jpg
    250.5 KB · Views: 6
  • 20230620_164548.jpg
    160.7 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…