Sisi wazee wetu walikuwepo juzi tu ambao tunawafahamu walikuwa wanafahamu dawa nyingi sana za mitishamba na ilikuwa mtu akipata tatizo anaambiwa asubiri akatafutiwe tiba mzee anaingia shambani na kurudi na majani ambayo yamesagwasagwa bila kufahamu ni aina gani lakini baada ya kutumia yanakuwa yanatibu tatizo. Hao wazee kwa sasa wako wapi? Je wametuachia chochote kuhusu hizo products? Hao ni kwa wale tunaowafahamu tu. Wapo wengi waliopita kizazi na kizazi na tabia inakuwa ni hii na baadaye sisi tunaokuwepo kwa sasa tunakuwa hatufahamu kabisa tiba za asilia. Sasa kwa mataifa mengine mambo kama haya yamekuwa yakihifadhiwa na kufanyiwa utafiti miaka mingi kabla ya Kristo na baadaye teknolojia ilivyoingia ikawa inazidi kurahisisha utafiti na uandaaji pamoja na uhifadhi wa products na ndiyo kwa sasa tunaweza kuzipata kwa namna unavyoziona.
Hizo documentation za nchi nyingine ziko wapi?..specifically kwa hiyo product yako/yenu.
Refer www.fukangfamily.com for more clarifications
I dont see any clarification using the "research evidence" you have availed, rather it's confusion...i think you have to be CAREFUL when marketing your products, especially touching one's health!
Mbona hiyo email yako ni useless. Yaani ukituma ujumbe kwako google wanasema imefungwa. Vipi uiweke hapa?
You need to be in a classroom
I'd rather be in the classroom, than spread 'news/info' which you cant defend!!
What i know is if something worthy buying it doesnt worthy advertising!..and just so you remember being in class, means you be come more knowledgeable. You should consider it sometimes!
mbona hujasema zinapaticana wapi?
Menopause ina maana gani jamani?
Menopause ina maana gani jamani?
Menopause ina maana gani jamani?
Ungekua gt ungegoogle lkn po
thnx guys now nimeelewa
Ungekua gt ungegoogle lkn po
thnx guys now nimeelewa
elimu yako je!!!!!!!!!