miss_blossom
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,607
- 2,150
Zipo nyingi nafikir zile ambazo yeye anakuwa comfortable nazo.Kama zipi
Thank me later [emoji6]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo nyingi nafikir zile ambazo yeye anakuwa comfortable nazo.Kama zipi
Wadau nauliza ikiwa demu wangu anaelekea kutimiza miez nane ya ujauzito je naruhusiwa kusex nae hadi muda gani?/au hadi siku ya kujifungua? Na pia style ambazo sio hatarishi ni zp?
Pia inaruhusiwa kumwagia shahawa ndani au bora nitumie ndomu?
Yesu Kristo nn tena. au unamsema yule wa Kenya ?Yesu kristo[emoji134][emoji134]
Katika ubora wako missNafikir kama mwanamke hana shida yoyote ya uzazi ni salama kufanya nae mpka siku za mwisho lakin kwa mikao/styles ambazo haziwezi kumuumiza.
Hahahahaacha maramoja unamgusa mtoto kichwani na dushee lako.
[emoji106][emoji122]Hakuna ukomo kama daktari hajatia neno na ukigegeda mama mtarajiwa hana tatizo lolote lile labda maumivu au kubleed. Madaktari hushauri kuendelea kugegeda hadi siku ya mwisho kama inawezekana kwani husaidia kufungua uke kirahisi siku ya kujifungua. Ila kama kuna tatizo lolote basi ni lazima muwafamishe madaktari mara moja na pia mambo yawe aste aste [emoji12][emoji12][emoji12]
mpk siku ya mwisho ya kuingia labor ni sawa kama tu haimpi shida. muhimu ni kujua aina ya style isiyoleta purukushaniWadau nauliza ikiwa demu wangu anaelekea kutimiza miez nane ya ujauzito je naruhusiwa kusex nae hadi muda gani?/au hadi siku ya kujifungua? Na pia style ambazo sio hatarishi ni zp?
Pia inaruhusiwa kumwagia shahawa ndani au bora nitumie ndomu?