Ukondefu unaninyima amani nifanyeje ili nipate walau vinyama kidogo

ungeambatanisha bac japo na ka photo nyie vimbau mbau ndio ugonywa wangu ajabu ss nikimpta kimbau mbau anakuwa chibonge baada ya muda
 
Oy mi mwanaume makalio ya nini sasa mbona unaleta mizaha katika issue seteous ndugu
Hii huduma ni optional kama utapenda kunenepeshwa mwili ila nyuma ubaki flat is up to wewe, nimetoa tu wazo kwa kuwa mwili unapaswa kunona proportional kwa uwiano sawa!
 
kul
kula bia kwa wingi mkuu
 
1. Mimi si daktari
2. Beer moja tu na chakula mchana na jioni. Kama uko kazini jioni tu.

Ukinywa beer na chakula ina kucontrol kuongeza. Ikiwezekana nunua unywee nyumbani.

Wewe ni daktari nakufahamu vizuri 📢 na kesho tukijaliwa ntapitisha kuku pale nyumbani..
Asante kwa ushauri mkuu hebu namimi niufanyie kazi ntaleta mrejesho hapa
 
ungeambatanisha bac japo na ka photo nyie vimbau mbau ndio ugonywa wangu ajabu ss nikimpta kimbau mbau anakuwa chibonge baada ya muda

Unakwama wapi sasa wakati wakati mimi nipo na sixpack zake
 
We kula vitu vya sukari na mafuta tu ila nyama ndio nzuri kwa kujaza misuli. Hakikisha hukosi bakuli ya supu ya ng'ombe deile.

Mchana ugali na nyama ya kitimoto roast.

Jioni kuku choma na chips zitakufaa sana mkuu. Huku ukisindikizia na malta.

Nakupa mwezi na nusu tu, ulete majibu hapa.
 
Ukila matunda inamaana unabalance diet huwezi kunenepa bali utakonda zaidi.
Kunenepa ni kuharibu mfumo
Cha kufanya kula kila kinachonenepesha
Asubuhi kula kiporo cha wali.. mchana ugali mkubwa mboga 7 shushia na soda.. usiku chips/wali/ Nyama na juice ya kutengeneza
Ukipita njiani usisahau kula vitu vidogo vidogo/ michemsho nk
Yani kula iwe first priority
Kikubwa na mno usiwe na mawazo
 

Huyu sharobaro ataweza kusindilia nyama kweli zaidi ya mishkaki minne
 
Acha gubu,penda kuish bila karaha,acha mawazo ya kifala fala,pata muda wa kupumzika,rizika unachopata, kula diet stahk,fanya mazoez ya kuongeza weight,HAKIKA mwili huo miez 2 mingi utambi huo unakuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…