Maji kupwa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2019
- 315
- 330
ungeambatanisha bac japo na ka photo nyie vimbau mbau ndio ugonywa wangu ajabu ss nikimpta kimbau mbau anakuwa chibonge baada ya muda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii huduma ni optional kama utapenda kunenepeshwa mwili ila nyuma ubaki flat is up to wewe, nimetoa tu wazo kwa kuwa mwili unapaswa kunona proportional kwa uwiano sawa!Oy mi mwanaume makalio ya nini sasa mbona unaleta mizaha katika issue seteous ndugu
Unawataka wa nini??ungeambatanisha bac japo na ka photo nyie vimbau mbau ndio ugonywa wangu ajabu ss nikimpta kimbau mbau anakuwa chibonge baada ya muda
Changamoto ikizingatiwa unaishi na watu ambao hawakawii kukuita mkondefu!Duuuh pole sana.
Jikubali tu mkuu utakuwa na amani.
kula bia kwa wingi mkuuHABARI WAKUU.
Wakubwa kwa Wadogo salamu kwenu
Mimi ni kijana mwenye 28 years..!
Tatzo langu ni uwembamba uliopitiliza natamani walau na mimi niwe na vinyama kidogo. Nakumbuka mwaka jana niliwahi kupima uzito wangu nikawa 48kg uzito wa Jogoo la kienyeji iliniuma sana nilikaa wiki zima nikitafakari hatma ya afya yangu hadi hapo nilipoenda kupima magonjwa yote nikakutwa nipo smart sina tatzo la kiafya!
Nikaamua kujianzishia Dozi ya kula matunda kila baada ya chakula na mara kwa mara hali ambayo ilikuwa inanigalimu kila siku kutumia galama zaidi ya elfu kumi 10,000 kwa ajili ya Kuimalisha Afya yangu pia nilipata ushauri wa kula kitimoto na Bia moja kila siku! Hali ambayo sikuona shida nilikuwa nafanya hivyo hadi kujikuta nakuwa mlevi wa bia, Maana nilikuwa nakunywa bia moja kwa ajili ya Afya ila hatmae nikajikuta nakunywa bia zaidi ya 5 kwa siku maana tabia ya Bia nilikuwa nikinywa moja natamani kuongeza nyingine na nyingine hadi nikajikuta nakuwa mlevi pasipo kukusudia hali hii ilikuwa inanipelekea kukosana na watu wanaonizunguka kila nikinywa pombe nawatambia majirani zangu kuwa hawana hela na kusababisha fujo hadi nyumbani kwangu! Ikabidi nijishauri mwenyewe nakuacha dozi hii kwa sasa situmii tena.
Ila katika kumbukumbu zangu kipindi nafanya haya walau nilianza kuona mabadiliko kidogo ya afya mwilini mwangu nikaanza kutokeza kakitambi kwa mbali na kunenepa shavu na nilipopimwa uzito nilikuwa nimefikisha 60Kg hadi watu walianza kuniambia nimenenepa pasipokujua hiyo hali inaniingiza galama kiasi gani!
Nilikuwa nimeanza kunyanyua kakibanda kangu ila nilisimamisha shughuli ya ujenzi, pesa yote niliokuwa napata katika mihangaiko yangu ikawa inatumika kwa ajili ya kufanyia kile ninachokitamani, baada ya kuacha tena dozi hii kwa sasa nimepururuka vibaya mno jana nimepima uzito nakuta 52kg tu na kila kukicha nazidi kukonda tena!
Nimeamua kuja hapa ili wataalamu mnipe namna ambayo itakuwa si ghali sana ambayo nitatumia ili ninenepe huu ukondefu unaninyima michongo mingi sana!
Atakaeweza kunisaidia nipo tayari kumlipa!
1. Mimi si daktari
2. Beer moja tu na chakula mchana na jioni. Kama uko kazini jioni tu.
Ukinywa beer na chakula ina kucontrol kuongeza. Ikiwezekana nunua unywee nyumbani.
Mimi huyooView attachment 1172843
ungeambatanisha bac japo na ka photo nyie vimbau mbau ndio ugonywa wangu ajabu ss nikimpta kimbau mbau anakuwa chibonge baada ya muda
We kula vitu vya sukari na mafuta tu ila nyama ndio nzuri kwa kujaza misuli. Hakikisha hukosi bakuli ya supu ya ng'ombe deile.
Mchana ugali na nyama ya kitimoto roast.
Jioni kuku choma na chips zitakufaa sana mkuu. Huku ukisindikizia na malta.
Nakupa mwezi na nusu tu, ulete majibu hapa.
huu ni uongo atarefuka kama chuma ya bendera, bangi haijawahi kumnenepesha mtu.Anza kuvuta bangi 3× per day
kweli analeta utani wa ngumiOy mi mwanaume makalio ya nini sasa mbona unaleta mizaha katika issue seteous ndugu
Ndio madhara ya kutuma picha hapa....usharobaro na kula vina uhusiano gani sasa? Mkuu kuwa na nidhamu tafadhari mi niko sereousHuyu sharobaro ataweza kusindilia nyama kweli zaidi ya mishkaki minne
kwa unavyotembea huwezi kunenepa unatingisha mwili mno so mwili unaji restore. hahahaha kiddingMimi huyooView attachment 1172843
Una mwili mzuri Sana boy hapo upeleke dojo tu upate stamina na nguvu za kutosha mwili usitake kunenepa Sana.Mimi huyooView attachment 1172843