Ukondefu unaninyima amani nifanyeje ili nipate walau vinyama kidogo

Mkuu hapo kwenye profile picture kama ni wewe....

Nakushauri kufanya ngono mara kwa mara nako kunakondesha

Kaa mbali na wanawake kabisa
 
Pole sana
Make sure unafanya kazi una uwe una miliki kile kwenye account kuanzia 5 millions uone kama hunenepi


Mie kwa sasa nashukuru nina angalau 74
Kuna kipindi nilipima uzito haa, hadi nikajilaumu kwanini nimepima nilipata around 47 daaah. nikaacha kabisa hizo mambo, sasa naona huu uzi umenikumbusha haya mambo, let me try this time.
 
Pole sana. Jaribu kutafuta hii dawa ya glibenclamide (glitsol) uwe unakunywa 1/3 ya kidonge cha 5mg. Kidonge kimoja unakigawanya vipande vitatu unakunywa kipande kimoja kabla ya kulala... Huenda kikakusaidia ku gain weight!
 
mkuuhata mimi nilikuwa kimbau mbau.. hii ndo dozi nliyotumia kupata matokeo nliyotaka
 
Tupo weng Mkuu tiririka tu

Okei haina tabu mkuu nitaiweka hapa

Ni dawa ya mfumo wa chakula maalumu kwa watu wenye upungufu wa damu mwilini yani “anaemia” inetengenezwa na uyoga maarufu kama reish
Sasa kwa mtu anaetaka kuongeza mwili hii itamfaa kwasababu huongeza hamu ya kula sana njaa utakayosikia huwezi kushindwa kula,ipo kwenye mfumo wa kahawa(ina taste ya kahawa lakini haina caffeine)na vidonge vyake pia
 
Namimi hapa urefu wa 5 feet 11 inches (181cm) 67kg nilikuwa najiona mwembamba kumbe afadhali yangu ila kwa urefu wangu bado ni kilo chache inabidi nifike angalau 75kg.

Halafu uongezaji wa kilo mzuri ni wakufanya mazoezi (kunyanyua uzito, push ups na squads), ndio nilioutumia kuongeza kilo mwaka jana nilikuwa na 57kg. Unaongeza kilo na kubaki na mwili mzuri kuliko kuongeza kilo na kupata kitambi, sema kila mtu na mapendeleo yake.

NB: kitambi kinategemea aina ya chakula zaidi. Sema mazoezi yanaweka definition kidogo kwenye tumbo.
 
Vp mkuu ni mchongo gani hujapata kwasababu wewe ni mwembamba? Au kuna dem kakwambia una mkwaza kwa wembamba wako?
Huyu nahisi anatafuta ile michongo ya kfiringisana ile ya kile kipindi cha Adam mchomvu sio bure,Maana ktk kazi zote za halali sijawahi kuona sifa ya ukibonge.

Dah ila jamaa kaniacha mdomo wazi kwa anachokililia
 
[emoji3][emoji3]Sasa mbona wewe mnene mkuu embu acha masihara halafu shukuru wewe ni mfupi. Sisi ni vimbau mbau halafu ni warefu.
Huyu jamaa anazingua dizain flani aisee.

Hajui watu tupo km 1 halafu futi 6+ yaani shuka tunajifunika pembe kwa pembe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…