Ukopaji fedha na jinsi unavyoua Urafiki

vile vyama vya wadai havipo siku hizi? au kuna vikosi unakodi kama mdeni wako anajifanya sugu, mfano huo wa laki nane. hawa jamaa wakikudai wanakuandama utadhani wanataka roho yako
 
usikopeshe ndugu au rafiki...toa tu kama msaada kuepuka shida.

huyo aliyepata emergency atapata shida kubwa kuliko hiyo na hatopata msaada anaohitaji...
na huyo mwingine kagari kake katakufa hivi karibuni tu!
 
Pole sana mkuu..cjui kwann wabongo huwa wanatake urafiki for granted..me pia nimejifunza..kuna jamaa yangu ana uwezo mkubwa sana zaidi yangu..ila mm ndio kila cku niwe namkopesha ela yeye izi laki laki kwa mwaka jana tu zishafika kama mil moja ivi ukiacha laki 5 niliyompa kwa mkupuo akisema atarudisha.alirudisha laki tuu.sijamdai nimefanya kama nimtoa sadaka tu..urafiki upo ila anajistukia sana na siku moja nilikua mkoa flani ivi nimetytiwa alaf ATM ilizama nlisahau pasword mara tatu nikakosa ata msaada kwake wa 50k tu kwamba nikisolve ntamrudishia kesho mapema na ukiangalia sina mwengine rafiki zaidi yake,visingizio vikawa vingi nikamtema tu inshu nikaisolve kwa kugeuka usiku huo huo..sio kama hama uwezo wa kunilipa anao tena sana na anafanya vitu vikubwa zaidi..ila mwaka huu ata akinitaka anikope 20 nipo radhi nionekane masikini tu.NTASEMA SINA KAKA HALI YANGU MBAYA SANA.

Ukiendekeza urafiki unakua maskini daima..sitoendekeza huu mwaka kwake tena ni kwa sbb siwezi kumdai..
 
Yaani ningepata mtu anikopeshe laki tatu nisingemsahau mpaka kaburini.Nina issue ya maisha na kifo ila ndo hivo nimekwama nimemuachia mungu
Tuma namba yako ya TigoPesa na ikiambatana na picha yako PM.
Karibu.
 
Nimepita katika matukio kama yako Davis nilimkopesha pesa ndefu ya kumlipia mwanae ada kuna kipindi alisitishiwa mshahara hajanilipa hadi leo.Ally nae hivyo hivyo ila nimewagundua kuwa sio marafiki wa kweli na sitawadai
Wakabithi kwangu nikufundishe kudai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…