Mimi nimewakopesha rafiki zangu wawili Kila mmoja na wakati wake.
October 2014 Jamaa yangu nilimkopesha Milioni moja taslimu. Alikuwa amekwama ktk biashara yake ya miti ya mbao. Hajanilipa mpaka 26/01/2018 saa 13:24 na cmu yangu hapokei. Nikibadili Namba akipokea akijua Mimi anakata simu.
November 2014 nilimkopesha Jamaa yangu mwingine Milioni 2 taslimu. January 2015 alinilipa Milioni moja, ikabaki moja mpaka Leo 26/01/2018, saa 13:30 hajamalizia. Nikimfuata ananipa jibu cjapata Pesa mkuu.
NB: Wote nimeandikishana nao kwa mwanasheria wangu ambae n rafiki yangu.