Mzee wa old school
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 873
- 1,405
Bila shaka mu wazima kabisa.
Leo katika mizunguko yangu ya kusaka tonge,, nimepita barabara ya g/mboto... Nimeona wameanza Ujenzi wa barabara na vituo vya magari ya mwendo kasi,, wakati gari imesimama kwenye foleni nimetafakari mengi sana...
1. Nimeona wakandarasi wa kichina, hivi kwanini serikali isitoe tenda ya kandarasi KWa kampuni za Tanzania? Lengo pesa zisitoke nje ya tz mzunguko uwe hapa KWa asilimia zote. Sawaaa mchina ataajiri watanzania... Lakini si vibarua tu? Kwahiyo pesa nyingi itarudi kwao.
2.nikawaza labda watasingizia hakuna watalaam. Sawa hakuna. Kwanini wasiwatengeneze hao watalaam? Heri gharama itumike kuwatengeneza ili iepushe hasara kubwa ya badae.
3. Nikawaza tarura na tanroad,,, kazi yao kubwa nini,,,, maana tenda zote wachina wamezichukua,, kama sio kampuni ya mchina basi ni mzungu ama mturuki ama yeyote kutoka nje ya bara la afrika. Shida ni nini?
KWa kweli imeniuma sana.... Hebu watumie hata wanajeshi basi kama wakiona namna gani.
Leo katika mizunguko yangu ya kusaka tonge,, nimepita barabara ya g/mboto... Nimeona wameanza Ujenzi wa barabara na vituo vya magari ya mwendo kasi,, wakati gari imesimama kwenye foleni nimetafakari mengi sana...
1. Nimeona wakandarasi wa kichina, hivi kwanini serikali isitoe tenda ya kandarasi KWa kampuni za Tanzania? Lengo pesa zisitoke nje ya tz mzunguko uwe hapa KWa asilimia zote. Sawaaa mchina ataajiri watanzania... Lakini si vibarua tu? Kwahiyo pesa nyingi itarudi kwao.
2.nikawaza labda watasingizia hakuna watalaam. Sawa hakuna. Kwanini wasiwatengeneze hao watalaam? Heri gharama itumike kuwatengeneza ili iepushe hasara kubwa ya badae.
3. Nikawaza tarura na tanroad,,, kazi yao kubwa nini,,,, maana tenda zote wachina wamezichukua,, kama sio kampuni ya mchina basi ni mzungu ama mturuki ama yeyote kutoka nje ya bara la afrika. Shida ni nini?
KWa kweli imeniuma sana.... Hebu watumie hata wanajeshi basi kama wakiona namna gani.