Ukosefu wa ajira, ugumu wa maisha na Katiba Mpya ndio vitakavyoiondoa CCM madarakani

Ukosefu wa ajira, ugumu wa maisha na Katiba Mpya ndio vitakavyoiondoa CCM madarakani

Embu achaneni na suala la katiba mpya, msidhani hao wanasiasa wanadai katiba mpya kwa maslai ya raia. mwenzenu wametumwa na mfadhali wao hayo ni makubaliano kwenye fedha za ufadhili walizopokea.
Vitu vya msingi Vipo kwa nini wadai katiba peke yake, ajabu ukionekana unauelekeo tofauti au mawazo tofauti wanakushambulia kwa matusi na kebei. TUNALAZIMISHANA
1) watumishi hawajaongezwa mishahara kwa nini hawazungumzi hili
2) Ajira kwa vijana nini kifanyike
3)Corona imeporomosha uchumi hawatoi mbinu za kupandisha uchumi
4) miradi kibao haijakamilika wamekaa kimya hawahamisishi miradi ikamilishwe fedha za watz zilizotumika zisipotee
 
Maisha yakiwa magumu na umasikini kutawala ndio ccm inazidi kupendwa zaidi.
Umasikini na ccm ni pacha.
Mtu akikosa ajira huwa masikini akiwa masikini huwa mjinga akiwa mjinga uichagua ccm Ili azidi kuwa masikini.
Case study police na ccm ni chanda, police uisaidia ccm kuiba kura,ccm ikishinda haiboreshi maisha ya police.
 
Back
Top Bottom