Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,666
- 847
Hakuna mgombea urais yeyote aliyewahi kulisemea kwa kina tatizo la ajira na ni kwa njia zipi atalitatua.
Narudia tena hakuna
Narudia tena hakuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si mnasema mama ameleta ajira 35M ndani ya miezi 6😅Hakuna mgombea urais yeyote aliyewahi kulisemea kwa kina tatizo la ajira na ni kwa njia zipi atalitatua.
Narudia tena hakuna
Aisee . . . mmoja alisema zitatengeneza ajira milioni 8 mwingine anasema 35 milioni tumwamini nani ?Si mnasema mama ameleta ajira 35M ndani ya miezi 6😅
Wote matapeliAisee . . . mmoja alisema zitatengeneza ajira milioni 8 mwingine anasema 35 milioni tumwamini nani ?
HhahahahaaaWote matapeli
Mkuu mbali na kujiajiri,hii kozi kila ajira zinazotangazwa ajira Portal..aisee kwa mwaka utawz ona mara 2 tu..halafu wanataka 1 au2 tu..Unaweza kutoa angalau sababu za majuto yako mheshimiwa kitonger?
Kwa fani yako unaweza kufanya nini?Mkuu mbali na kujiajiri,hii kozi kila ajira zinazotangazwa ajira Portal..aisee kwa mwaka utawz ona mara 2 tu..halafu wanataka 1 au2 tu..
Pia kazi zikitangazwa za Automobile..Mechanical Eng anaweza kuapply na akapata,ila za Mechanical Eng..Automobile Eng tukiapply ajira portal SYSTEM INATUKATAA..Yaani Tafrani tu.
Nipo kitaa mwaka wa 4 huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo nae alivurugwa sio bure..Kuna mzee mmoja nilikutana naye chuo zamani, ana miaka 65 akawa anasoma certificate ya ICT....
Poleni Sana. Kwani kwa hiyo fani inawezekana kujiajiri ? Si ndio unakua fundi garage mwenye degreeMkuu mbali na kujiajiri,hii kozi kila ajira zinazotangazwa ajira Portal..aisee kwa mwaka utawz ona mara 2 tu..halafu wanataka 1 au2 tu..
Pia kazi zikitangazwa za Automobile..Mechanical Eng anaweza kuapply na akapata,ila za Mechanical Eng..Automobile Eng tukiapply ajira portal SYSTEM INATUKATAA..Yaani Tafrani tu.
Nipo kitaa mwaka wa 4 huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani kozi tamu hivyo alafu unajuta. Mkuu unakwama wapi au ulikuwa tia maji. Hata ungekuwa na supp za kutosha ila mtaani ulitakiwa ukimbize mbona kina Fundi Maiko wanatoboa
Hujachelewa Tena Sana,Kusoma Miaka Miwil Unaweza Ona Unapoteza muda.Unaweza Fikisha Miaka 40 Na Ukawa Hujafanya Lolote and you start to regret Ningejifunza Ningelikuwa Nina Kitu Leo.Kwa iyo ata kama na miaka 38 bado sijachelewa mkuu
Yaani jiogaizini mliosoma hiyo fani mfanye jambo au unaonaje ?
Hujachelewa Tena Sana,Kusoma Miaka Miwil Unaweza Ona Unapoteza muda.Unaweza Fikisha Miaka 40 Na Ukawa Hujafanya Lolote and you start to regret Ningejifunza Ningelikuwa Nina Kitu Leo.
Pole Mkuu.Yaani jiogaizini mliosoma hiyo fani mfanye jambo au unaonaje ?
Wengine Sasa hivi baada ya kukosa ajira wanashauriwa sijui warudi veta wakasomee ufundi. Sasa wewe tayari ni fundi mwenye joho lako mjini.... Sasa Jishushe kaombe kazi kwenye magarage yale makubwa angalau ili upate maujanja ujanja ya kazi na connections za wateja. Ukiwa competent unajiongeza na wewe, eti au unaonaje ?
Najaribu tu kukuwazia hapa [emoji848] . Mimi mwenyewe nina janga langu ndio naendelea kuwaza na kuwazua yaani ni shiidaaa haha
Ni kweli kuna taasisi nyingi za serikali zinahitaji nguvu kazi lakini hazitangazi ajira au kama wakitangaza ni nafasi chache. Kisingizio ni budget finyu lakini ukicheki hizo per diem wanazokula zinatosha kabisa kuajiri wafanyakazi kadhaa.Hizi sera za kikoloni ndo zimetufikisha hapa yaani sasa hivi mwenye diploma ana nafasi kubwa ya kupata kazi kuliko mwenye bachelor.Nadhani hiyo inaweza kuwa ni sababu mojawapo changizi ya kukosekana kwa ajira but sio sababu kuu ya kukosekana au uhaba wa ajira.
Ipo hivi, ajira Tanzania tunarudi nyuma sababu kuna ufanisi mdogo sana katika taasisi za kiserikali kitu ambacho kinasababisha kufeli kwa ukuaji mzuri wa hizi taasisi ambazo kama zingekuwa tokea miaka ya uhuru basi kwa hivi sasa zingekuwa na matawi kila mkoa na hivyo kungekuwa na uhaba wa kada hii ya wasomi.
Kuna watu toka wamemaliza shule hawajawahi sikia mkataba wa serikali wa kazi.
Sekta zifuatazo yaani utalii, uvuvi, reli na anga, misitu,kilimo, zikisimamiwa efficiently zifanye kazi inavyotakiwa ni swala la muda mfupi tu utasikia wanatafuta wafanyakazi maana kuna upungufu wa watendaji.
Anatoboa kwa mazingira gani mkuu ?Yani kozi tamu hivyo alafu unajuta. Mkuu unakwama wapi au ulikuwa tia maji. Hata ungekuwa na supp za kutosha ila mtaani ulitakiwa ukimbize mbona kina Fundi Maiko wanatoboa