Ukosefu wa haki vyuoni

Ukosefu wa haki vyuoni

LugaMika

Member
Joined
Mar 13, 2024
Posts
38
Reaction score
53
A university studends with alot of books on tablet with PC he try to figure out how he going t...png

Wazazi wanatuombea sana hususa wale wa familia za chini pale wanapoona kijana au Binti yao yupo chuoni, kwani imani yao atapata Elimu kisha kuwa na maisha bora.

Lakini tatizo vuoni kunakuwa na mipango malidhawa ya Wakufunzi kukwamisha ndoto za vijana au Mabinti hawa. Tupia mbali rushwa kwani ni tatizo ambalo lipo na inaaminika halikomi kulingana na tamaa zilizopo.

Lakini kuna hili nalo linazidi kukuwa kwa kasi hasa kwa ndaki za uhandisi.


Kuna Wakufunzi hu dhamimini kozi fupi ambazo mara nyingi huhusiana na kozi ambazo hutakiwa zifundishwe darasani. Na kozi hizi hutoza fedha na pia hufanyika wakati wa likizo. Sio vibaya kuanzisha vitega uchumi vya namna hiyo vyuoni.

Lakini ubaya unaanza pale ambapo itafika muda wa masomo na anahitajika afundishe darasani lakini yeye akasema hii sitofundisha sana kwakuwa baadhi yenu walisoma kama kozi fupi wakati wa likizo kwahiyo mtawauliza.

Kauli hii ni moja kati ya maneno ya kibaguzi na unyonyaji wa wazi wazi.

Kutokana na changamoto hii kama hiitofuatiliwa tunaweza kuzali Wahandisi wasio na weredi kabisa .
Mimi pia ni muhanga wa mambo ya namna hiyo.Je, hili suala nilipeleke wapi ili liondolewe?
 
Baba yetu Magufuli si alikuwa Malaika ee!!!
Sawa
 
Unapokuwa chuo , unabidi usome ili upate cheti.

Ila swala la maarifa unabidi kujijengea utaratibu wa kuwa knowledge seeker .

Usigombane na lecturer we mfatishe anavyotaka ili upate cheti.

Elimu kubwa IPO katika vitabu mbalimbali . jitahidi uwe msomaji wa vitabu ujijenge .

Kuwa mtoto wa masikini haina uhusiano na wewe kutofanikiwa au kupitia magumu.
 
Unapokuwa chuo , unabidi usome ili upate cheti.

Ila swala la maarifa unabidi kujijengea utaratibu wa kuwa knowledge seeker .

Usigombane na lecturer we mfatishe anavyotaka ili upate cheti.

Elimu kubwa IPO katika vitabu mbalimbali . jitahidi uwe msomaji wa vitabu ujijenge .

Kuwa mtoto wa masikini haina uhusiano na wewe kutofanikiwa au kupitia magumu.
Ni kweli kabisa
 
Unapokuwa chuo , unabidi usome ili upate cheti.

Ila swala la maarifa unabidi kujijengea utaratibu wa kuwa knowledge seeker .

Usigombane na lecturer we mfatishe anavyotaka ili upate cheti.

Elimu kubwa IPO katika vitabu mbalimbali . jitahidi uwe msomaji wa vitabu ujijenge .

Kuwa mtoto wa masikini haina uhusiano na wewe kutofanikiwa au kupitia mag
Shida vijana wengi wanaamini notes ndio tosha elimu imeishia hapo. Nakumbuka nilikuwa na utaratibu wa kukaa Library whole day nikaambiwa acha habari za form 6 hapa ni chuo. Ila leo nashukuru Mungu nilisoma Kozi A lakini watu wa kozi B na C na hata D wanajua nimesoma kozi sawa na wao tunapokutana kwenye project za kiofisi. Wakija kujua mie sio mwenzao wnahamaki na kusema huyu jamaa genius kumbe sina ujiniaz wala nini nilichimba vitabu sana enzi za ujana wangu. Kwa kifupi kila module niliisomea vitabu sio chini ya 3 na naenjoy sana kwa sasa maana mtu akisema tutatumia teknolojia fulani najua ABC zake.
 
Back
Top Bottom