Ukosefu wa mafuta nchini - Serikali ilaumiwe?

Ukosefu wa mafuta nchini - Serikali ilaumiwe?

Taarifa ya awali tunaambiwa mafuta yapo ya kutosha tatizo lipo kwa wamiliki wa vituo
Any divided kingodom shall fall...na hakuna utawala uliojengwa kwenye msingi wa uongo ukasimama.

Kama kuna shida ni ipi? Mbona hatujaambiwa? Tunaambiwa tu mafuta yapo wakati sehemu kubwa ina uhaba wa mafuta. Huo sio uongo?
 
Nasikia ukionyesha kadi ya CCM unapewa mafuta tena kwa bei ya punguzo ....CCM oyeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2969][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nasikia ukionyesha kadi ya CCM unapewa mafuta tena kwa bei ya punguzo ....CCM oyeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2969][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Not sure wapi hapo?
 
Back
Top Bottom