AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Wadau wa elimu JF.....!
Imekuwa ni kawaida pindi yatokapo matokeo ya kidato cha 4 huwa kunakuwa na mfululizo wa matangazo ya shule za private kwa wanafunzi wanaopenda kujiunga na kidato cha 5, Lakin hivi sasa ukitazama Tv na hata ukisiliza Radio hutaweza kuskia tena matangazo ya shule bali utaskia matangazo ya colleges tu kwa ngazi za Cert na dplmoma.
Je ndio kusema anguko la mwaka kidato cha 4 ndio limepelekea haya kwa kuhisi kukosa wanafunzi wenye sifa za kujiunga na kidato cha 5 2013?
Pia na serkali imechukua hatua gani mpaka sasa?
Imekuwa ni kawaida pindi yatokapo matokeo ya kidato cha 4 huwa kunakuwa na mfululizo wa matangazo ya shule za private kwa wanafunzi wanaopenda kujiunga na kidato cha 5, Lakin hivi sasa ukitazama Tv na hata ukisiliza Radio hutaweza kuskia tena matangazo ya shule bali utaskia matangazo ya colleges tu kwa ngazi za Cert na dplmoma.
Je ndio kusema anguko la mwaka kidato cha 4 ndio limepelekea haya kwa kuhisi kukosa wanafunzi wenye sifa za kujiunga na kidato cha 5 2013?
Pia na serkali imechukua hatua gani mpaka sasa?