Ukosefu wa taaluma katika vyombo vya habari vya dini

Ukosefu wa taaluma katika vyombo vya habari vya dini

2013

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
11,360
Reaction score
6,069
Vipindi vingi vya Dini hususani vya Kikristo katika radio mbalimbali nchini vinaendeshwa na watangazaji ama wasemaji wasioweza kuzungumza lugha fasaha ya kiswahili. Inaonyesha hata wanao wasaili hawajui kama hawajui kiswahili Sanifu.

Mfano, Unakuta mtangazani anatakiwa aseme Roho Mtakatifu anasema loho Mtakatifu, lehema, balikiwa, kilisto(kristo)kilisimasi(,krismasi), balaka(Baraka). Zabuli/(Zaburi),msaraba(msalaba) kuwekwa Ulu(Huru).
Etc.

Ukiondoa Roman Catholic, vyombo vilivyobaki ni kama Ushabiki tu linapofika swala la kutangaza Kwa kiswahili sanifu. Jambo linaloongeza kero na kutoamini inapotokea unatakiwa kumsikiliza mtu asiyejua Nini anazungumza. Ni jambo lililo Dhahiri kwamba Wako watu wasioweza kuvumilia kumsikiliza mtu anayezungumza vibaya. Athari zake ni kusababisha radio kutopendeza wengi na kukosa wafuatiliaji.
 
Shida ya Tanzania ni mother tongue zinawasumbua kuna makabila hayana l yana R na mengine hayana CHA yana KYA mfano Mbeya, rungwe na kyela huko
 
Vipindi vingi vya Dini hususani vya Kikristo katika radio mbalimbali nchini vinaendeshwa na watangazaji ama wasemaji wasioweza kuzungumza lugha fasaha ya kiswahili. Inaonyesha hata wanao wasaili hawajui kama hawajui kiswahili Sanifu.

Mfano, Unakuta mtangazani anatakiwa aseme Roho Mtakatifu anasema loho Mtakatifu, lehema, balikiwa, kilisto(kristo)kilisimasi(,krismasi), balaka(Baraka). Zabuli/(Zaburi),msaraba(msalaba) kuwekwa Ulu(Huru).
Etc.

Ukiondoa Roman Catholic, vyombo vilivyobaki ni kama Ushabiki tu linapofika swala la kutangaza Kwa kiswahili sanifu. Jambo linaloongeza kero na kutoamini inapotokea unatakiwa kumsikiliza mtu asiyejua Nini anazungumza. Ni jambo lililo Dhahiri kwamba Wako watu wasioweza kuvumilia kumsikiliza mtu anayezungumza vibaya. Athari zake ni kusababisha radio kutopendeza wengi na kukosa wafuatiliaji.
Kule inatakiwa wokovu tu. Mbinguni hatuendi kwa kujua ufasaha wa Lugha.
 
Uho muda wa kukagua mtu kaongea kiswahili kibovu mnautoa wapi?
 
Back
Top Bottom