Shayu
Platinum Member
- May 24, 2011
- 608
- 1,655
Hakuna amani pasipo upendo. Upendo ni mama wa amani kama watu wanataka amani, wajifunze kupenda. Upendo haudhuru unalinda. Ukosefu wa upendo husababisha vurugu na fujo duniani. Upendo huheshimu wengine. Ni ukosefu wa upendo sio haki ndio hupoteza amani. Kwahiyo dunia lazima ifikirie mara mbili na imwangalie binadamu kwa jicho la upendo. Infact huwezi dhuru unachokipenda. Hii ni sheria ya amani.
Ukosefu wa upendo chanzo cha ukosefu wa amani na si ukosefu wa haki. Kukosekana kwa haki ni dalili ya upendo kutoweka au watu kutenda pasipo upendo. Thamani ya binadamu huondoka pale upendo unapotoweka.
Ukosefu wa upendo chanzo cha ukosefu wa amani na si ukosefu wa haki. Kukosekana kwa haki ni dalili ya upendo kutoweka au watu kutenda pasipo upendo. Thamani ya binadamu huondoka pale upendo unapotoweka.