Masafa ya Kati angewapa ya masafa marefu wangepiga Hadi ndani ya RussiaMungu awabariki Marekani kwa kuwapa Ukraine makombora ya masafa marefu
Kawapatia ya aina gani mkuu?Mungu awabariki Marekani kwa kuwapa Ukraine makombora ya masafa marefu
Anhaaa, kumbe ya masafa ya katiii, nilijua kweli Ukraine kapewa ya masafa marefu.Masafa ya Kati angewapa ya masafa marefu wangepiga Hadi ndani ya Russia
Yatayosazwa na HIMARS yataliwa na F35nawish siku moja wampeleke myama F-35 shuuli iishe.
Yaliyo sazwa na parare yataliwa na Tunutu.
( yaliyo sazwa na Javilin yataliwa na HIMARS)
alivamiwa ulitaka afanyaj ? anye akalale kama ufanyavy kila sikuHebu someni sorious articles ndio mtaujua ukweli. Accordning to some source inakadiriwa ukraine wamepoteza wapiganaji kati 67,000 - 71,000. Urusi ni kati ya 13,000 - 15,500.
Idadi ya najeruhi pande zote ni kubwa lakini Ukraine ni zaidi.
Kuna cbeap propaganda ambazo zimefanywa na hazijasaidia chochote zaidi zimepelekea maumivu makubwa zaidi Ukraine.
Ukitumia manati na mwenzio akitumi pisto hamuwezi kuwa na idadi sawa ya vifo na majeruhi
Hapana hawafiki kumbuka wale ni binadamu sio wanyama na sio kama maigizo wanaakili zao kufa au kuponaKama wanajeshi wa Russia waliokufa itakuwa idadi hiyo, nafikiri wa Ukraine inaweza fika kama milioni mbili hivi
Hatua kwa hatuaMasafa ya Kati angewapa ya masafa marefu wangepiga Hadi ndani ya Russia
Hawezi kuzipeleka hzo ataharibu soko la hzo ndege maana anajua zitashushwa fasaYatayosazwa na HIMARS yataliwa na F35
Hebu tumia akili kidogo je kuna mzazi yupo tayari kumuona mtoto wake anauwawa na wavamizi kisa ni mwanajeshi na asichukue hatua.....kumbuka wavamizi wanaingia ndani ya Ukraine na raia wamo humo humo wakiendelea na shughuli zao ndipo utafahamu takwimu gani ni halisiHebu someni sorious articles ndio mtaujua ukweli. Accordning to some source inakadiriwa ukraine wamepoteza wapiganaji kati 67,000 - 71,000. Urusi ni kati ya 13,000 - 15,500.
Idadi ya najeruhi pande zote ni kubwa lakini Ukraine ni zaidi.
Kuna cbeap propaganda ambazo zimefanywa na hazijasaidia chochote zaidi zimepelekea maumivu makubwa zaidi Ukraine.
Ukitumia manati na mwenzio akitumi pisto hamuwezi kuwa na idadi sawa ya vifo na majeruhi