(Ukraine) anajisifu: Ngumi kumi, nimekwepa tisa ni moja tu ndio ilinipata, kinachoonekana dogo amechakaa usoni, uso umevimba na macho hayaoni!

(Ukraine) anajisifu: Ngumi kumi, nimekwepa tisa ni moja tu ndio ilinipata, kinachoonekana dogo amechakaa usoni, uso umevimba na macho hayaoni!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Kiuhalisia Ukraine inachakazwa sana!! Ila vyombo vya magharibi vinapotosha ili kukwepa aibu ya kushindwa kuilinda ukraine kupitia air defenses walizopeleka huko!

Asilimia 80 ya mji mkuu kiev hauna maji, na umeme na kila jimbo la ukraine hali ni mbaya hawana maji na umeme!! Kisa dogo alijimwambafy kutaka kushambulia ngome kuu ya Urusi ya majini iliyoko Crimea ambacho ni kituo cha meli za urusi kwa kutumia drnes.

Shambulizi hilo halikufanikiwa na Urusi ikaamua kumchapa dogo usiku wa kuamkia leo kwenye majimbo yote ya ukraine ikiwemo mji wake mkuu wa kiev.

Pamoja na kichapo hicho chote kilichosababisha nchi kukosa maji na umeme, dogo bado anatamba kuwa Urusi ilirusha ngumi/missiles 50 lakini nimezipangua zote isipokuwa sita tu tu!! Logic ya kawaida haiingii akilini, ukraine ina majimbo 27 na wenyewe wanakiri nchi nzima imeshambuliwa lakini hapo hapo wanapandikiza uongo kama ifuatavyo:

1. Ni majimbo kumi tu yaliyoshambuliwa.

2. Makombora/missiles 50 zilitumika kwenye mashambulizi lakini 44 yalitunguliwa ina maana ni 6 tu yaliyofika kwenye target.

Inawezekanaje makombora sita yakafanikiwa kushambulia majimbo 10? Ina maana kombora moja linaweza kushambulia zaidi ya jimbo moja? Kuna mtu alisema njia ya mwongo ni fupi?

Russian attacks struck 10 regions and damaged 18 facilities, says Ukrainian prime minister
Ukraine Prime Minister Denys Shmyhal said Russia targeted 10 Ukrainian regions and damaged 18 mostly energy-related facilities.

He added that the consequences could have been worse but air defences knocked out 44 of the 50 missiles that were fired, Reuters reports.
 
Ukweli ni huu hapa: Sehemu zote zilizolengwa kupingwa zilipigwa kwa kutumia makombora yenye shabaha kubwa! Achana na mashairi ya ukraine kuwa eti asilimia 88 ya makombora yalidunguliwa na wakati huo huo analioa kuwa majimbo mengi yamepigwa na nchi iko gizani na maji hakuna.

On Monday, the Russian Defense Ministry said that Moscow’s high-precision strikes on Ukrainian command and energy facilities had hit all their designated targets. Ukrainian media and officials reported explosions across the country, with local authorities urging people to take cover.
 
Hatari zaidi kajamaa kanaleta comedy mpaka vitani

IMG-20220925-WA0004.jpg
 
Eti kumbe ni kukosa umeme na maji tu!,nikajua zeleboy ameshatimuliwa madarakani na mandonga amekalia kiti pale Kiev.
 
USISHABIKIE VITA KAMA MECHI YA SIMBA NA YANGA.

UNA AKILI TIMAMU, PINGA VITA UVAMIZI NA UONEVU.
 
1685360743041.png

Hii ni usiku wa kuamkia leo:
  • Kyiv says its forces shot down all missiles launched by Russia in fresh wave of day time attacks which rocked central districts of the Ukrainian capital city
1685360878144.png

Local residents walk next to damaged buildings after Russian missiles strike in Kyiv region [Handout: Head of the National Police of Kyiv region Andrii Nebytov/Telegram via Reuters]. Hapo ndipo makombora yote ya urusi yamedunguliwa!!
 
Ukweli ni huu hapa: Sehemu zote zilizolengwa kupingwa zilipigwa kwa kutumia makombora yenye shabaha kubwa! Achana na mashairi ya ukraine kuwa eti asilimia 88 ya makombora yalidunguliwa na wakati huo huo analioa kuwa majimbo mengi yamepigwa na nchi iko gizani na maji hakuna.

On Monday, the Russian Defense Ministry said that Moscow’s high-precision strikes on Ukrainian command and energy facilities had hit all their designated targets. Ukrainian media and officials reported explosions across the country, with local authorities urging people to take cover.
Bro unaumia sana mbona kama vile wewe ni mke wa Putin jamani, kwani Ukraine hata wakipigwa wewe inakuhusu nini wakati unasubiri huruma ya mama Samia ukakope kumalizia banda lako dah!
 
Bro unaumia sana mbona kama vile wewe ni mke wa Putin jamani, kwani Ukraine hata wakipigwa wewe inakuhusu nini wakati unasubiri huruma ya mama Samia ukakope kumalizia banda lako dah!
Wewe kimekuuma nini mpaka umecoment, sasa kibanda chake wewe kinakuhusu nini, discuss mada iliyoko mezani hayo mengine hayakuhusu, tabia za kimama kabisa hizo. anyway hata ukijibu sintakujibu.
 
Back
Top Bottom