Ukraine: Gavana wa Chernihiv asema Russia haijalegeza mashambulizi licha ya ahadi ya kupunguza mashambulizi

Ukraine: Gavana wa Chernihiv asema Russia haijalegeza mashambulizi licha ya ahadi ya kupunguza mashambulizi

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Gavana, Viacheslav Chaus, alitumia programu ya kutuma ujumbe ya Telegram kukashifu ahadi ya Urusi.

"Urusi yaanzisha mashambulizi mapya baada ya ahadi ya amani, Tunaamini ndani yake? Bila shaka sivyo," alisema, akiongeza Urusi ilikuwa imeshambulia Chernihiv "usiku kucha".

Siku ya Jumanne, Urusi ilisema itapunguza shughuli karibu na Chernihiv na mji mkuu, Kyiv. Ving'ora vya mashambulizi ya anga vilisikika mjini Kyiv mapema Jumatano, saa chache baada ya Urusi kusema kuwa itaondoa baadhi ya wanajeshi katika mji mkuu.

Naibu meya wa Kyiv, Mykola Povoroznyk, alikanusha Mji Mkuu kushambuliwa na makombora, ingawa milio ya risasi ilisikika kutokana mapigano na mapigano yanayoendelea karibu na jiji hilo.

Maafisa wa Marekani na Ukraine wanasema Urusi inaendelea kuweka vikosi vyake mbali na Kyiv, pengine kama sehemu ya juhudi za kuangazia tena maeneo ya mashariki.

Naibu Waziri wa Ulinzi wa Russia, Alexander Fomin, alisema nchi hiyo "itapunguza kwa kiasi kikubwa, mara kadhaa shughuli za kijeshi" katika juhudi za "kuongeza uaminifu" katika mazungumzo ya amani.

Wajumbe kutoka Moscow na Kyiv walifanya mazungumzo ya saa tatu mjini Istanbul siku ya Jumanne yaliyolenga kuhitimisha mapigano ya zaidi ya mwezi mmoja nchini Ukraine.

Ukraine ilisema kuwa imependekeza kuwa taifa lisiloegemea upande wowote katika ujihakikishia usalama. Lengo kuu la uvamizi wa Urusi lilikuwa ni kusimamisha Ukraine kujiunga na muungano wa Nato na maafisa wa Urusi walisema kuwa mazungumzo hayo yamefikia hatua ya kivitendo.

Chanzo: BBC
 
Gavana, Viacheslav Chaus, alitumia programu ya kutuma ujumbe ya Telegram kukashifu ahadi ya Urusi.

"Urusi yaanzisha mashambulizi mapya baada ya ahadi ya amani, Tunaamini ndani yake? Bila shaka sivyo," alisema, akiongeza Urusi ilikuwa imeshambulia Chernihiv "usiku kucha".

Siku ya Jumanne, Urusi ilisema itapunguza shughuli karibu na Chernihiv na mji mkuu, Kyiv. Ving'ora vya mashambulizi ya anga vilisikika mjini Kyiv mapema Jumatano, saa chache baada ya Urusi kusema kuwa itaondoa baadhi ya wanajeshi katika mji mkuu.

Naibu meya wa Kyiv, Mykola Povoroznyk, alikanusha Mji Mkuu kushambuliwa na makombora, ingawa milio ya risasi ilisikika kutokana mapigano na mapigano yanayoendelea karibu na jiji hilo.

Maafisa wa Marekani na Ukraine wanasema Urusi inaendelea kuweka vikosi vyake mbali na Kyiv, pengine kama sehemu ya juhudi za kuangazia tena maeneo ya mashariki.

Naibu Waziri wa Ulinzi wa Russia, Alexander Fomin, alisema nchi hiyo "itapunguza kwa kiasi kikubwa, mara kadhaa shughuli za kijeshi" katika juhudi za "kuongeza uaminifu" katika mazungumzo ya amani.

Wajumbe kutoka Moscow na Kyiv walifanya mazungumzo ya saa tatu mjini Istanbul siku ya Jumanne yaliyolenga kuhitimisha mapigano ya zaidi ya mwezi mmoja nchini Ukraine.

Ukraine ilisema kuwa imependekeza kuwa taifa lisiloegemea upande wowote katika ujihakikishia usalama. Lengo kuu la uvamizi wa Urusi lilikuwa ni kusimamisha Ukraine kujiunga na muungano wa Nato na maafisa wa Urusi walisema kuwa mazungumzo hayo yamefikia hatua ya kivitendo.

Chanzo: BBC

mbona tunaambiwa urusi ndiyo inayoshambuliwa [emoji16][emoji16]
 
Gavana, Viacheslav Chaus, alitumia programu ya kutuma ujumbe ya Telegram kukashifu ahadi ya Urusi.

"Urusi yaanzisha mashambulizi mapya baada ya ahadi ya amani, Tunaamini ndani yake? Bila shaka sivyo," alisema, akiongeza Urusi ilikuwa imeshambulia Chernihiv "usiku kucha".

Siku ya Jumanne, Urusi ilisema itapunguza shughuli karibu na Chernihiv na mji mkuu, Kyiv. Ving'ora vya mashambulizi ya anga vilisikika mjini Kyiv mapema Jumatano, saa chache baada ya Urusi kusema kuwa itaondoa baadhi ya wanajeshi katika mji mkuu.

Naibu meya wa Kyiv, Mykola Povoroznyk, alikanusha Mji Mkuu kushambuliwa na makombora, ingawa milio ya risasi ilisikika kutokana mapigano na mapigano yanayoendelea karibu na jiji hilo.

Maafisa wa Marekani na Ukraine wanasema Urusi inaendelea kuweka vikosi vyake mbali na Kyiv, pengine kama sehemu ya juhudi za kuangazia tena maeneo ya mashariki.

Naibu Waziri wa Ulinzi wa Russia, Alexander Fomin, alisema nchi hiyo "itapunguza kwa kiasi kikubwa, mara kadhaa shughuli za kijeshi" katika juhudi za "kuongeza uaminifu" katika mazungumzo ya amani.

Wajumbe kutoka Moscow na Kyiv walifanya mazungumzo ya saa tatu mjini Istanbul siku ya Jumanne yaliyolenga kuhitimisha mapigano ya zaidi ya mwezi mmoja nchini Ukraine.

Ukraine ilisema kuwa imependekeza kuwa taifa lisiloegemea upande wowote katika ujihakikishia usalama. Lengo kuu la uvamizi wa Urusi lilikuwa ni kusimamisha Ukraine kujiunga na muungano wa Nato na maafisa wa Urusi walisema kuwa mazungumzo hayo yamefikia hatua ya kivitendo.

Chanzo: BBC
@Al assad pitia paragraph ya mwisho kabisa hilo ndio lilikua lengo KUU kabisa la RUSSIA kuelekea kwa UKRAINE
 
@Al assad pitia paragraph ya mwisho kabisa hilo ndio lilikua lengo KUU kabisa la RUSSIA kuelekea kwa UKRAINE
Nimekuelewa ....kumbuka kuna lengo kuu na malengo ya ziada...katika yote nikuwa lengo kuu linaweza kuwezeshwa na malengo ya ziada..
Mfano kama Russia wangefanikiwa mwanzoni kwa operation kumtoa raid madarakani basi lengo kuu lingekuwa rahisi kufanikiwa au kutekelezeka. Iko hivi ndio Moja ya malengo take ni ilo LA Kutojiunga na NATO ila jua ana zaidi ya ilo uko Ukraine.
Mfano mwingine pamoja na kuwa Ukraine kukubali kutojiunga na NATO lakini bado unaona vita inaendelea,...
Je wewe unafikiri kwanini!?

Wewe unafikiri kwanini Russia walipeleka paratroopers Kiev North and south mwanzoni mwa operation?

Au nafikili lengo LA Kiev offensive ni nini?

Unafahamu kuwa Zelensky amenusurika mauaji Mara tatu?

Unajua kuwa makomando wa Russia mwanzoni wali-infiltrate Kiev na kusasbabisha mapigano ya risasi mitaani?
Unafahamu kuwa Unit ya Magomed Tushaev ndio ilipangwa kwenda kuuwa viongozi mjini Kiev ila walishindwa(rejea rumours kuwa kauwawa)

#Uhalisia ni kuwa hata Uongozi wa Ukraine ukikubali kutojiunga na NATO lakini Russia bado haina imani nao(hata Ukraine hana inamani na Russia)...na hata baada ya vita hakutakuwa na mahusiano mazuri baina ya hizo nchi.
 
Gavana, Viacheslav Chaus, alitumia programu ya kutuma ujumbe ya Telegram kukashifu ahadi ya Urusi.

"Urusi yaanzisha mashambulizi mapya baada ya ahadi ya amani, Tunaamini ndani yake? Bila shaka sivyo," alisema, akiongeza Urusi ilikuwa imeshambulia Chernihiv "usiku kucha".

Siku ya Jumanne, Urusi ilisema itapunguza shughuli karibu na Chernihiv na mji mkuu, Kyiv. Ving'ora vya mashambulizi ya anga vilisikika mjini Kyiv mapema Jumatano, saa chache baada ya Urusi kusema kuwa itaondoa baadhi ya wanajeshi katika mji mkuu.

Naibu meya wa Kyiv, Mykola Povoroznyk, alikanusha Mji Mkuu kushambuliwa na makombora, ingawa milio ya risasi ilisikika kutokana mapigano na mapigano yanayoendelea karibu na jiji hilo.

Maafisa wa Marekani na Ukraine wanasema Urusi inaendelea kuweka vikosi vyake mbali na Kyiv, pengine kama sehemu ya juhudi za kuangazia tena maeneo ya mashariki.

Naibu Waziri wa Ulinzi wa Russia, Alexander Fomin, alisema nchi hiyo "itapunguza kwa kiasi kikubwa, mara kadhaa shughuli za kijeshi" katika juhudi za "kuongeza uaminifu" katika mazungumzo ya amani.

Wajumbe kutoka Moscow na Kyiv walifanya mazungumzo ya saa tatu mjini Istanbul siku ya Jumanne yaliyolenga kuhitimisha mapigano ya zaidi ya mwezi mmoja nchini Ukraine.

Ukraine ilisema kuwa imependekeza kuwa taifa lisiloegemea upande wowote katika ujihakikishia usalama. Lengo kuu la uvamizi wa Urusi lilikuwa ni kusimamisha Ukraine kujiunga na muungano wa Nato na maafisa wa Urusi walisema kuwa mazungumzo hayo yamefikia hatua ya kivitendo.

Chanzo: BBC
Dozi bado haijafika vizuri watulie kwanza hatuwezi punguza mashambulizi kirahisi rahisi
 
ahadi pekee vitani ni kukubali kushindwa na kuweka silaha chini
siku moja Hamas walitekeleza mashambuliz kwenda upande wa Israel na wakasema wanataka kuifuta Israel ila baada ya siku tatu tukasikia wanalalamika kilichowakuta ni simuliz , huyu Putin soon dawa yake ipo jikoni , jamii ya wazungu ilipo ndan ya Urusi hawakubali kutengwa na wenzao wa ulaya
 
siku moja Hamas walitekeleza mashambuliz kwenda upande wa Israel na wakasema wanataka kuifuta Israel ila baada ya siku tatu tukasikia wanalalamika kilichowakuta ni simuliz , huyu Putin soon dawa yake ipo jikoni , jamii ya wazungu ilipo ndan ya Urusi hawakubali kutengwa na wenzao wa ulaya
Nonsense
 
siku moja Hamas walitekeleza mashambuliz kwenda upande wa Israel na wakasema wanataka kuifuta Israel ila baada ya siku tatu tukasikia wanalalamika kilichowakuta ni simuliz , huyu Putin soon dawa yake ipo jikoni , jamii ya wazungu ilipo ndan ya Urusi hawakubali kutengwa na wenzao wa ulaya
Mlizoea wakina Zimbabwe tu.....sahv mnaishia kuimba taarabu tu
 
Urus inaihitaji Ukraine ila ni kama uwezo wake ndio umeishia hapo
 
Baada ya US na EU kuwapa silaha hasa za kutungua vifaru (anti tanks missiles) na anti air missiles ndogo zakutungua low flying aircrafts km helicopters na Bunduki basi Ukraine alifanikiwa kwa kuweza kuaharibu idadi kubwa ya vifaru basi akahisi vita ni rahisi na watawashinda Russia... Russia imebadiri strategy kwasasa wanatumia makombora yamasafa marefu km cruise missiles na hypersonic missiles kuharibu maghara ya silaha ya Ukraine.. Russia kwasasa anatumua ndege vita zake ambazo zinapaa juu hivo sio rahisi kudunguliwa na makombora yamabegani wanayopewa... Air defences za Ukraine zinazidi kuharibiwa kwasasa uku viwanja vya ndege na kambi za kijeshi zikilengwa na kuharibiwa... Depots za Mafuta za Ukraine zinaharibiwa na maeneo yake mengi yakimkakati yakiharibiwa..Km Ukraine akiendelea na Ubishi basi mpaka kufika mwezi wa 5 maeneo mengi yatakua ni magofu rejea mji wa Mariopol ambao umeharibiwa vibaya.. Kila Usiku ni kipondo Kizito tu mwisho Ukraine itashindwa kujiendesha na majeshi yake yatachoka maana supply wanayopewa haiendani na kichapo wanachopewa sasa..Rejea kauli ya Rais wa Ukraine aliposema " Tunahitaji makombora makubwa yakutungua ndege za Russia na Cruise missile na mtupatie na fighter jets km Su_27 na Mig na sio hizi ant tanks mnazotupa maana hazizuii makombora ya Urusi akamalizia au mnamuogopa Putin... Mwisho akasema km Ukraine ikimalizwa basi nchi nyingine ya Ulaya itafuatia maana hakuna wa kumzuia Putin...
 
Baada ya US na EU kuwapa silaha hasa za kutungua vifaru (anti tanks missiles) na anti air missiles ndogo zakutungua low flying aircrafts km helicopters na Bunduki basi Ukraine alifanikiwa kwa kuweza kuaharibu idadi kubwa ya vifaru basi akahisi vita ni rahisi na watawashinda Russia... Russia imebadiri strategy kwasasa wanatumia makombora yamasafa marefu km cruise missiles na hypersonic missiles kuharibu maghara ya silaha ya Ukraine.. Russia kwasasa anatumua ndege vita zake ambazo zinapaa juu hivo sio rahisi kudunguliwa na makombora yamabegani wanayopewa... Air defences za Ukraine zinazidi kuharibiwa kwasasa uku viwanja vya ndege na kambi za kijeshi zikilengwa na kuharibiwa... Depots za Mafuta za Ukraine zinaharibiwa na maeneo yake mengi yakimkakati yakiharibiwa..Km Ukraine akiendelea na Ubishi basi mpaka kufika mwezi wa 5 maeneo mengi yatakua ni magofu rejea mji wa Mariopol ambao umeharibiwa vibaya.. Kila Usiku ni kipondo Kizito tu mwisho Ukraine itashindwa kujiendesha na majeshi yake yatachoka maana supply wanayopewa haiendani na kichapo wanachopewa sasa..Rejea kauli ya Rais wa Ukraine aliposema " Tunahitaji makombora makubwa yakutungua ndege za Russia na Cruise missile na mtupatie na fighter jets km Su_27 na Mig na sio hizi ant tanks mnazotupa maana hazizuii makombora ya Urusi akamalizia au mnamuogopa Putin... Mwisho akasema km Ukraine ikimalizwa basi nchi nyingine ya Ulaya itafuatia maana hakuna wa kumzuia Putin...
Screenshot_20220330-202953_Sputnik.jpg
Screenshot_20220330-203356_Sputnik.jpg
 
siku moja Hamas walitekeleza mashambuliz kwenda upande wa Israel na wakasema wanataka kuifuta Israel ila baada ya siku tatu tukasikia wanalalamika kilichowakuta ni simuliz , huyu Putin soon dawa yake ipo jikoni , jamii ya wazungu ilipo ndan ya Urusi hawakubali kutengwa na wenzao wa ulaya
Warussi ndio wazungu,hawa wengine ni waingereza,wajerumani,wafaransa,wataliano, wamarekani,na wacanada,
 
Back
Top Bottom