Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Ukraine apigwe tu
Z
Z
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Beberu ni muongo Sana, eti aliyechakazwa anaombwa apunguze mashambulizi!mbona tunaambiwa urusi ndiyo inayoshambuliwa [emoji16][emoji16]
mbona tunaambiwa urusi ndiyo inayoshambuliwa [emoji16][emoji16]
chamoto anakiona ila BUCHA huko wanalia liaUrusi ndio inayoshambulia Ukraine lakini cha moto wanakiona kwani wao walidhani, operation hiyo ingekuwa rahisi na ingechukua muda mfupi. Wamepata hasara kubwa sana ya wanajeshi na vifaa vita japokuwa bado wanaendelea kuipiga Ukraine.
chamoto anakiona ila BUCHA huko wanalia lia
hasara ulitaka wasipate wakati wapo kwenye OP yakutumia silaha
mnakwamia wapi vijana?
MAURIOPOL KHARKIV ODESSA LUHANS DONESK hizi zote zishakua mali ya RUSSIA sasa sijui munataka jamaa wapate hasara vipi
ila endeleeni kuwajaza sifa zauongo maana ndio wanazidi kupelekewa MOTO huko