chamoto anakiona ila BUCHA huko wanalia lia
hasara ulitaka wasipate wakati wapo kwenye OP yakutumia silaha
mnakwamia wapi vijana?
MAURIOPOL KHARKIV ODESSA LUHANS DONESK hizi zote zishakua mali ya RUSSIA sasa sijui munataka jamaa wapate hasara vipi
ila endeleeni kuwajaza sifa zauongo maana ndio wanazidi kupelekewa MOTO huko