Ukraine inalazimisha kupewa silaha utafikiri ni deni: Msaada ukikawia inatukana!! Hawa ni manazi wa uhakika!

Ukraine inalazimisha kupewa silaha utafikiri ni deni: Msaada ukikawia inatukana!! Hawa ni manazi wa uhakika!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Ukraine imeikashifu sana ujerumani. Kisa ni kwamba ukraine iliiomba ujerumani msaada wa silaha nzito za kurusha makombora lakini mpaka sasa ujerumani haijatekeleza japo milikubali. Sasa ukraine wanaikejeli ujerumani kuwa wanapeleka makombora ukraine kwa usafiri kama wa konokono!!


1653656764313.png


Ujerumani na nchi zingine za ulaya zinakereka sana lakini zinajikaza hivyo hivyo!! Wameposti huyo konokono pamoja na maneno ya ujerumani pembeni mwa picha hiyo kuwa "Urusi lazima ashindwe vita hii" wakati usafiri wa silaha kwenda ukraine ni wa konokono!

Ukrainian ambassador insults Germany again​

Envoy Andrey Melnik is apparently angry at the pace of arms deliveries from Berlin
Ukrainian ambassador insults Germany again

Andrey Melnik speaks during an event marking the 77th anniversary of the 1945 victory against Nazi Germany at the Brandenburg parliament in Potsdam, Germany, May 8, 2022 © AFP / Soren Stache
Ukraine’s outspoken ambassador to Germany, Andrey Melnik, posted an image on Thursday implying that German weapons are being sent to Ukraine at a snail’s pace. Melnik has a long record of insulting his host nation.
Melnik posted an image of a snail with a bullet taped to its shell on his official Twitter account, along with the text “German weapons for Ukraine already on their way.” Claiming to have been sent the picture by a member of the government in Kiev, he added a dismissive “Pff. Russia must not win the war.”
 
Ukraine imeikashifu sana ujerumani. Kisa ni kwamba ukraine iliiomba ujerumani msaada wa silaha nzito za kurusha makombora lakini mpaka sasa ujerumani haijatekeleza japo milikubali. Sasa ukraine wanaikejeli ujerumani kuwa wanapeleka makombora ukraine kwa usafiri kama wa konokono!!


View attachment 2240907

Ujerumani na nchi zingine za ulaya zinakereka sana lakini zinajikaza hivyo hivyo!! Wameposti huyo konokono pamoja na maneno ya ujerumani pembeni mwa picha hiyo kuwa "Urusi lazima ashindwe vita hii" wakati usafiri wa silaha kwenda ukraine ni wa konokono!

Ukrainian ambassador insults Germany again​

Envoy Andrey Melnik is apparently angry at the pace of arms deliveries from Berlin
Ukrainian ambassador insults Germany again

Andrey Melnik speaks during an event marking the 77th anniversary of the 1945 victory against Nazi Germany at the Brandenburg parliament in Potsdam, Germany, May 8, 2022 © AFP / Soren Stache
Ukraine’s outspoken ambassador to Germany, Andrey Melnik, posted an image on Thursday implying that German weapons are being sent to Ukraine at a snail’s pace. Melnik has a long record of insulting his host nation.
Melnik posted an image of a snail with a bullet taped to its shell on his official Twitter account, along with the text “German weapons for Ukraine already on their way.” Claiming to have been sent the picture by a member of the government in Kiev, he added a dismissive “Pff. Russia must not win the war.”
Lazma hata ingekua wewe ungemaind maana Ukraine alikua tayar kukaa chini kuyamaliza siku nyingi ila hao wamangaribi ndio walimpa promise fake, wameweka vikwazo hafifu kwa mrusi
Wanampa silaha za kiuchoyochoyo
Wakati Russia wanaitandika mvua ya mabomu wao wazungu wanazunguka na makaratasi na vikao visivyoisha ,aisee hijawah pata shida ukampigia jamaa yako ,jamaa akakujibu mpe nusu saa anakurushia teni ,unakaa unasikilizia nusu saa inapita ukimpigia hapokei ,ukiendelea kumpigia anakublock kabisa,hapo utajisikiaje? Sasa hivi raisi wa Ukraine hata simu zake hawapokei,hata ikipokelewa anaambiwa mpigie biden ,biden naye akipigiwa anadai subir kikao cha Congress kitashughulikia mambo yako ,huku unaoga mvua ya mabomu,aisee wee jamaa hujawahi kuhaso
 
Lazma hata ingekua wewe ungemaind maana Ukraine alikua tayar kukaa chini kuyamaliza siku nyingi ila hao wamangaribi ndio walimpa promise fake, wameweka vikwazo hafifu kwa mrusi
Wanampa silaha za kiuchoyochoyo
Wakati Russia wanaitandika mvua ya mabomu wao wazungu wanazunguka na makaratasi na vikao visivyoisha ,aisee hijawah pata shida ukampigia jamaa yako ,jamaa akakujibu mpe nusu saa anakurushia teni ,unakaa unasikilizia nusu saa inapita ukimpigia hapokei ,ukiendelea kumpigia anakublock kabisa,hapo utajisikiaje? Sasa hivi raisi wa Ukraine hata simu zake hawapokei,hata ikipokelewa anaambiwa mpigie biden ,biden naye akipigiwa anadai subir kikao cha Congress kitashughulikia mambo yako ,huku unaoga mvua ya mabomu,aisee wee jamaa hujawahi kuhaso
ikwazo hivyo siyo hafifu!! Vikwazo zaidi ya 6,000 hadi marekani inashangaa amewezaje kuhimili!! Kilichomsaidia ni kuwa na maliasili zinazohitajika kote ulimwenguni kwa matumizi ya kila siku!! gesi na mafuta!! Hapo hawana jinsi na urusi inapokea mabilioni kwa siku!!
 
Usafiri wa ujerumani wakipeleka msaada wa silaha nchini ukraine huku wakisema " Urusi wasiruhusiwe kushinda vita hii" Sina uhakika ujerumani wamejisikiaje! Usafiri wa konokono!!

1653676664545.png
 
Ka Zelensky kana vituko sana. Hata wasipomsaidia atakayeumia ni yeye na nchi yake. Anavyoendelea kumwaga matusi watamtosa apambane na hali yake.
 
Ukraine waliahidiwa msaada
Ukraine imeikashifu sana ujerumani. Kisa ni kwamba ukraine iliiomba ujerumani msaada wa silaha nzito za kurusha makombora lakini mpaka sasa ujerumani haijatekeleza japo milikubali. Sasa ukraine wanaikejeli ujerumani kuwa wanapeleka makombora ukraine kwa usafiri kama wa konokono!!


View attachment 2240907

Ujerumani na nchi zingine za ulaya zinakereka sana lakini zinajikaza hivyo hivyo!! Wameposti huyo konokono pamoja na maneno ya ujerumani pembeni mwa picha hiyo kuwa "Urusi lazima ashindwe vita hii" wakati usafiri wa silaha kwenda ukraine ni wa konokono!

Ukrainian ambassador insults Germany again​

Envoy Andrey Melnik is apparently angry at the pace of arms deliveries from Berlin
Ukrainian ambassador insults Germany again

Andrey Melnik speaks during an event marking the 77th anniversary of the 1945 victory against Nazi Germany at the Brandenburg parliament in Potsdam, Germany, May 8, 2022 © AFP / Soren Stache
Ukraine’s outspoken ambassador to Germany, Andrey Melnik, posted an image on Thursday implying that German weapons are being sent to Ukraine at a snail’s pace. Melnik has a long record of insulting his host nation.
Melnik posted an image of a snail with a bullet taped to its shell on his official Twitter account, along with the text “German weapons for Ukraine already on their way.” Claiming to have been sent the picture by a member of the government in Kiev, he added a dismissive “Pff. Russia must not win the war.”
 
Ka Zelensky kana vituko sana. Hata wasipomsaidia atakayeumia ni yeye na nchi yake. Anavyoendelea kumwaga matusi watamtosa apambane na hali yake.
Nadhani Zelensky kwenye hii Vita ni Rubber stamp tu, ila maamuzi yote yanafanywa na West kisha yeye anapokea maagizo na kufanya utekelezaji.

Ndiyo maana wakuu wakichelewesha silaha anawafokea maana wanamkwamisha kutekeleza misheni waliyomwagiza[emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom