Ukraine inao wa kuwasaidia, Russia vilevile, hawa wapalestine hawana faida Duniani? Mbona ni tofauti na yalivyo mataifa mengine yaliyo na vita?

Ukraine inao wa kuwasaidia, Russia vilevile, hawa wapalestine hawana faida Duniani? Mbona ni tofauti na yalivyo mataifa mengine yaliyo na vita?

Nsanzagee

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2023
Posts
2,209
Reaction score
4,769
Wapalestine watakwisha hivihivi tunajionea

Juzi kati walitaka kupata taifa la kuwasaidia, lakini mara tu ya kutaka kuanza mpango huo, nchi hiyo ikajikuta inapoteza Rais na waziri wa mambo ya nje kiutatautata tu na mambo yakaishia hapo

Ukraine inao NATO, vilevile Russia ina China, SA, Korea ya juu Iran n.k

Hawa waarabu wa Gaza, hawana hata wa kuwasaidia?
 
Wapalestine watakwisha hivihivi tunajionea

Juzi kati walitaka kupata taifa la kuwasaidia, lakini mara tu ya kutaka kuanza mpango huo, nchi hiyo ikajikuta inapoteza Rais na waziri wa mambo ya nje kiutatautata tu na mambo yakaishia hapo

Ukraine inao NATO, vilevile Russia ina China, SA, Korea ya juu Iran n.k

Hawa waarabu wa Gaza, hawana hata wa kuwasaidia?
Hivi wewe ni mgeni wa haya mambo eeeh ujui Iran kampiga Pini mazayuni kupitia Hezbollah,houthi,hamas na vikundi Syria? Sahau kuhusu mazayuni kukaa kwa Amani pale middle finger..yaan hata aue raisi kila mwaka ila jua iran anauhakika wa kumpunguzia wanajeshi zaidi ya 500 kila mwaka kupitia vikundi nani mwenye hasara
 
Wapalestine watakwisha hivihivi tunajionea

Juzi kati walitaka kupata taifa la kuwasaidia, lakini mara tu ya kutaka kuanza mpango huo, nchi hiyo ikajikuta inapoteza Rais na waziri wa mambo ya nje kiutatautata tu na mambo yakaishia hapo

Ukraine inao NATO, vilevile Russia ina China, SA, Korea ya juu Iran n.k

Hawa waarabu wa Gaza, hawana hata wa kuwasaidia?
Unaweza kusaidia magaidi mchana kweupe hadharani? Si utakuwa hujipendi? Kwani kubwa la magaidi Iran anasemaje?
 
Wapalestine watakwisha hivihivi tunajionea

Juzi kati walitaka kupata taifa la kuwasaidia, lakini mara tu ya kutaka kuanza mpango huo, nchi hiyo ikajikuta inapoteza Rais na waziri wa mambo ya nje kiutatautata tu na mambo yakaishia hapo

Ukraine inao NATO, vilevile Russia ina China, SA, Korea ya juu Iran n.k

Hawa waarabu wa Gaza, hawana hata wa kuwasaidia?
Hahah
 
Ngoma ngumu hapo , tatizo ni saudia akiachana na USA basi itakuwa ndio mwisho wa hao magaidi ya kimarekani na washirika wake pale Middle East
 
Ngoma ngumu hapo , tatizo ni saudia akiachana na USA basi itakuwa ndio mwisho wa hao magaidi ya kimarekani na washirika wake pale Middle East
Saudi iko mfukoni hakina namna itajinusuru.

Ufalme wanautaka na ili waendelee kutawala kama familia lazima USA iwalinde.

Baada ya Mwafrika ni Mwarabu
 
Arabs wasaidiwe kwao pale kwani? And wanaishi kwa misaada ndio inawatia kuburi...
 
Waarabu waoga tu! Yaani Wapalestina wanauawa hivi hivi nchi za kiarabu zikikodoa macho!
Hata hivyo Iran,Turkey,Qatar,nk wanawasaidia.
 
Wapalestine watakwisha hivihivi tunajionea

Juzi kati walitaka kupata taifa la kuwasaidia, lakini mara tu ya kutaka kuanza mpango huo, nchi hiyo ikajikuta inapoteza Rais na waziri wa mambo ya nje kiutatautata tu na mambo yakaishia hapo

Ukraine inao NATO, vilevile Russia ina China, SA, Korea ya juu Iran n.k

Hawa waarabu wa Gaza, hawana hata wa kuwasaidia?
Ukraine wamevamiwa, Hamas wameteka watu mpaka leo wameshikilia watu wa taifa lingine, hata China na Rusia wanajua madhara ya vikundi vya kiislam vyenye msimamo mkali sana. Kule China, India vikundi hivyo vinasumbua sana, hamas ni kikundi cha kigaidi labda liundwe jeshi la Palestina. Lengo la Hamas ni kuifuta Israel, wanasema iondoke mashariki ya kati na warudi Ulaya
 
Wapalestine watakwisha hivihivi tunajionea

Juzi kati walitaka kupata taifa la kuwasaidia, lakini mara tu ya kutaka kuanza mpango huo, nchi hiyo ikajikuta inapoteza Rais na waziri wa mambo ya nje kiutatautata tu na mambo yakaishia hapo

Ukraine inao NATO, vilevile Russia ina China, SA, Korea ya juu Iran n.k

Hawa waarabu wa Gaza, hawana hata wa kuwasaidia?
Iran wapo
 
Hivi wewe ni mgeni wa haya mambo eeeh ujui Iran kampiga Pini mazayuni kupitia Hezbollah,houthi,hamas na vikundi Syria? Sahau kuhusu mazayuni kukaa kwa Amani pale middle finger..yaan hata aue raisi kila mwaka ila jua iran anauhakika wa kumpunguzia wanajeshi zaidi ya 500 kila mwaka kupitia vikundi nani mwenye hasara
Hivi, Iran ndiyo yule aliyepoteza rais wake kizembe?
 
Arabs wasaidiwe kwao pale kwani? And wanaishi kwa misaada ndio inawatia kuburi...
UKiangalia comments nyingi humu ikiwemo hii utagundua tatizo la watamzania ni elimu duni ,uwezo wa kufikiria ni mdogo sana

Embu angalia huyu mmarekani anachoandika na wewe unachoandika ndio uone tatizo la elimu lilivyokuwa kubwa
 

Attachments

  • Screenshot_20240610-112120_Instagram.jpg
    Screenshot_20240610-112120_Instagram.jpg
    82.2 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240610-112222_Chrome.jpg
    Screenshot_20240610-112222_Chrome.jpg
    293.6 KB · Views: 4
Waarabu waoga tu! Yaani Wapalestina wanauawa hivi hivi nchi za kiarabu zikikodoa macho!
Hata hivyo Iran,Turkey,Qatar,nk wanawasaidia.
Kwa hiyo ulitaka nchi za kiarabu zipeleke jeshi halafu wapigane na USA, Israel, England? Na waarabu wametetee Palestinians kwa uarabu wao au kwa dini yao? Saudia ana maadui wengi , nchi nyingi za kiarabu zina wivu na Saud Arabia, vinatamani ndo zisimamie masuala ya Hoja na kusambaratisha utawala wa kifalme , siku Saud Arabia ikijichanganya kutengeneza umoja imara na nchi za kiarabu zikiongozwa na Iran, basi Saud Arabia itazinduliwa ili washia wakamate Saud Arabia
 
Kwa hiyo ulitaka nchi za kiarabu zipeleke jeshi halafu wapigane na USA, Israel, England? Na waarabu wametetee Palestinians kwa uarabu wao au kwa dini yao? Saudia ana maadui wengi , nchi nyingi za kiarabu zina wivu na Saud Arabia, vinatamani ndo zisimamie masuala ya Hoja na kusambaratisha utawala wa kifalme , siku Saud Arabia ikijichanganya kutengeneza umoja imara na nchi za kiarabu zikiongozwa na Iran, basi Saud Arabia itazinduliwa ili washia wakamate Saud Arabia
Shida ya Saudia ni Kibaraka wa US na nchi za Magharibi.
 
Kwa hiyo ulitaka nchi za kiarabu zipeleke jeshi halafu wapigane na USA, Israel, England? Na waarabu wametetee Palestinians kwa uarabu wao au kwa dini yao? Saudia ana maadui wengi , nchi nyingi za kiarabu zina wivu na Saud Arabia, vinatamani ndo zisimamie masuala ya Hoja na kusambaratisha utawala wa kifalme , siku Saud Arabia ikijichanganya kutengeneza umoja imara na nchi za kiarabu zikiongozwa na Iran, basi Saud Arabia itazinduliwa ili washia wakamate Saud Arabia
Bw. Kosugi

Wewe ni mjuzi wa siasa za mashariki ya kati. Mawazo haya unayaonaje?
 
Waarabu wa Gaza wasaidiwe wakati walivamia Israel na kuchinja na kubaka 07 Oktoba, 2023, hadi wakawamimiminia risasi watanzania walioenda masomoni Israel, hata hivyo wanasaidiwa sana kwa silaha na Iran, Hizbollah, South Africa, wahouth wa Yemen nk nk wacha wamalizwe hadi watakapoachia mateka wa Israel na waliofanya mauji ya October 7, watakapojisalimisha. Israel ina haki ya kujilinda kujibu mapigo na kuwasaka na kuwamaliza wanaotaka kufuta taifa la Israel duniani kwa maelekezo ya Mungu wao.
 
Wapalestine watakwisha hivihivi tunajionea

Juzi kati walitaka kupata taifa la kuwasaidia, lakini mara tu ya kutaka kuanza mpango huo, nchi hiyo ikajikuta inapoteza Rais na waziri wa mambo ya nje kiutatautata tu na mambo yakaishia hapo

Ukraine inao NATO, vilevile Russia ina China, SA, Korea ya juu Iran n.k

Hawa waarabu wa Gaza, hawana hata wa kuwasaidia?
Terrorists wanapendwa na shetani tu
 
Hivi wewe ni mgeni wa haya mambo eeeh ujui Iran kampiga Pini mazayuni kupitia Hezbollah,houthi,hamas na vikundi Syria? Sahau kuhusu mazayuni kukaa kwa Amani pale middle finger..yaan hata aue raisi kila mwaka ila jua iran anauhakika wa kumpunguzia wanajeshi zaidi ya 500 kila mwaka kupitia vikundi nani mwenye hasara
Wishful thoughts.
Unawish iwe hivyo ila haipo hivyo
 
Back
Top Bottom