Plan crush can kill anyone., icho munachokiongelea bado hakijawa confirmed unachojua ni copy and paste tuMkuu kwani hawa ni ndugu zako au?View attachment 2725008
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Plan crush can kill anyone., icho munachokiongelea bado hakijawa confirmed unachojua ni copy and paste tuMkuu kwani hawa ni ndugu zako au?View attachment 2725008
Kataa ukweli tu lakini ukweli ni kwamba NATO wanawapa mafunzo,silaha na wataalamu Ukraine ambao wanajiita mercenaries na bado wanafeli.yaani nchi zaidi ya 30 zinasaidia Ukraine na bado counteroffensive imefeli.backmut hao askari wa NATO waliuawa sana.Plan crush can kill anyone., icho munachokiongelea bado hakijawa confirmed unachojua ni copy and paste tu
Wewe 5520 HUJUI UCHAMBUZI WA UHALISIA WA VITA na uahabiki mwingi sana kwa NATO ,yaani urusi iwe vumbi ujuhaKama ingekuwa NATO wapo kwenye uwanja wa vita sasaiv Russia ingekuwa limebaki vumbi tu., kilichopo na kinachoonekana kutoka NATO ni Ukraine kupewa silaha kwa awamu kwa mujibu wa vamizi anavyohitaji na hata hiyo misaada ya silaha Putin alionya vyombo vyote vya habari ulimwenguni vilimkoti akitangaza kwamba yeyote atakaeisaidia Ukraine atamjibu kwa nuclear. sasa silaha tokea siku ya kwanza Putin alipoivamia Kyiv Ukraine anapewa silaha mpaka ameweza kumtoa vamizi ndani ya miji mikuu Kyiv mpaka sasa amebaki huko mpakani nako anaendelea kufurushwa kila kukicha Ukraine wanarejesha ardhi yao.
Eneo ambalo Russia walishalidhibiti Ukraine ni mfano wa nchi ya Newzerland, msururu wa vifaru aliokwenda nao Ukraine ulikuwa na urefu wa kilomita 64 leo yale mafaru vimebaki ni maonyesho tu watoto na wageni wanapiga navyo picha entertainment.
Putin pia alisema ikishambuliwa Russia atajibu kwa nuclear na hapo vita ya tatu ya dunia itakuwa imeanza sasa kauli zake zinamsuta Urusi inapigwa kama ngoma, drones kutoka Ukraine zinatua juu ya paa analolala Putin kule Kremlin
Hakuna aliyekataa kwamba jeshi la Ukraine wanapewa mafunzo na silaha kutoka magharibi, tunachokataa ni jeshi la NATO halipo kwenye uwanja wa vita Ukraine hadi sasa, na ombeni hivyo kama jeshi la Ukraine tu limeifikisha Russia miaka miwili na sasa zaidi kwamba Urusi anaendelea kusiginwa na kurudi alikotokaKataa ukweli tu lakini ukweli ni kwamba NATO wanawapa mafunzo,silaha na wataalamu Ukraine ambao wanajiita mercenaries na bado wanafeli.yaani nchi zaidi ya 30 zinasaidia Ukraine na bado counteroffensive imefeli.backmut hao askari wa NATO waliuawa sana.
Putin anajua zaidi kwamba litabaki vumbi ndio maana amerudisha silaha za nuclear nyuma alikuwa kila siku anazitoa kutisha kutisha sasa ameufyata anakula vitasa hadi anapolalaWewe 5520 HUJUI UCHAMBUZI WA UHALISIA WA VITA na uahabiki mwingi sana kwa NATO ,yaani urusi iwe vumbi ujuha
Wakati Tanzania wanapigana vita vya Kagera dhidi ya Uganda mwaka 1978/79 walikuwa wanatengeneza silaha...??Huwezi shinda vita kwa silaha za kuokoteza
Haya ndio mlikuwa mnatwambia kuhusu vifaru vya Leopard, Chalenger and no show Abrams - sasa kulikuja kutokea nini at the end of the day,vilitiwa kiberiti na Lacent drones za Urusi, siku hizi havisikikiti tena - Waingereza na Wajerumani kimya kabisa wanaona aibu.Hizi ndege ni muhimu sana ili offensive ifanikiwe.
Zile saab gripen za Sweden huenda nazo zikasaidia kama watapewa sababu ya gharama nafuu ya uendeshaji tofauti na F-16 ila kwenye ubora sijajua ipi nzuri.
T14 Armata
Imebaki vumbi kutokana nini ebu fafanua - wakati mwingine mnajisemea tu kufurahisha baraza - hivi mnajua vizuri uwezo mkubwa wa jeshi la Taifa la Urusi???Kama ingekuwa NATO wapo kwenye uwanja wa vita sasaiv Russia ingekuwa limebaki vumbi tu., kilichopo na kinachoonekana kutoka NATO ni Ukraine kupewa silaha kwa awamu kwa mujibu wa vamizi anavyohitaji na hata hiyo misaada ya silaha Putin alionya vyombo vyote vya habari ulimwenguni vilimkoti akitangaza kwamba yeyote atakaeisaidia Ukraine atamjibu kwa nuclear. sasa silaha tokea siku ya kwanza Putin alipoivamia Kyiv Ukraine anapewa silaha mpaka ameweza kumtoa vamizi ndani ya miji mikuu Kyiv mpaka sasa amebaki huko mpakani nako anaendelea kufurushwa kila kukicha Ukraine wanarejesha ardhi yao.
Eneo ambalo Russia walishalidhibiti Ukraine ni mfano wa nchi ya Newzerland lakini leo hilo eneo liko wapi? pale Kyiv ilikuwa ni magari ya kivita tu kutoka Urusi leo yako wapi? wanajeshi wa Russia walikuwa wamezagaa mitaani Ukrain leo wako wapi?, msururu wa vifaru aliokwenda nao Ukraine ulikuwa na urefu wa kilomita 64 leo uko wapi ule msururu, yale mafaru vimebaki ni maonyesho tu watoto na wageni wanapiga navyo picha entertainment.
Putin pia alisema ikishambuliwa Russia atajibu kwa nuclear na hapo vita ya tatu ya dunia itakuwa imeanza sasa kauli zake zinamsuta Urusi inapigwa kama ngoma, drones kutoka Ukraine zinatua juu ya paa analolala Putin kule Kremlin
Putin kasema zitaunguzwa kama vinavyounguzwa zana zingine zilizoshangiliwa sana wakati zinaingia Ukraine!! Kwa sasa hatusikii shangwe za HIMAIR wala Lepords 2 na nyinginezo!! Nyingi zimetekwa na ziko kwenye maonesho kwenye viunga vya mji wa Moscow!! Zinasubiriwa pia kwa hamu Abrahams tanks za marekani ziingie ukraine nazo zichomwe moto na pia zijiunge kwenye maonesho ya Moscow!! Zileteni hizo F1 fourth generation!!! Urusi ina fifth generation!! na S400 inazisubiri kwa hamu!!Hapa sasa vita vitakua vinakwenda kwenye kiwango kipya, angani...
=========
![]()
President Volodymyr Zelenskyy, who is currently on a visit in the Netherlands, has announced that 42 F-16 fighter jets "will be in Ukrainian skies".
Source: Zelenskyy on social media, Zelenskyy and Mark Rutte during a joint press conference
Quote from Zelenskyy: "The F-16s. A breakthrough agreement. Starting today, we have more specific [information].
They (F-16 fighter jets) will be in the Ukrainian skies. Thank you, Netherlands! Thank you, Mark [Rutte, Dutch Prime Minister]!"
Details: Zelenskyy posted a selfie with Dutch Prime Minister Mark Rutte in front of an F-16.
Later, Zelenskyy added that Ukraine would receive 42 F-16 fighter jets.
Earlier, a video of Zelenskyy walking around a military base in the Netherlands and looking at fighter jets emerged online.
Updated: During a joint press conference, Mark Rutte, Prime Minister of the Netherlands, said that the Netherlands has 42 F-16 fighter jets and it is still too early to talk about how many of them will be transferred to Ukraine.
Rutte explained that first Ukrainian pilots have to complete training in Denmark and Romania. The pilots are currently learning English [in order to be able to operate the aircraft and complete further training]. Military training is yet to begin and will take place in Romania.
The Dutch Prime Minister also stressed the importance of Ukraine having the infrastructure necessary to service the F-16s.
Zelenskyy said that he did not want to talk about the number of F-16s, but Rutte mentioned that the current negotiations concern 42 aircraft.
Background: For its protection, Ukraine needs to replace obsolete Soviet-era aircraft of various types with a single type of multi-role fighter jet. The F-16 may become such a fighter jet in the number of 200 pieces, said Yurii Ihnat, Ukraine's Air Force spokesman.
Source: Pravda
Jibu hili hapa:Unafikiri ni kwa nini yule bwana aliyekuwa rais wa zamani wa Russia Dmitri Medvedev alitishia Russia kutumia silaha za nyuklia endapo Ukraine wangepewa ndege za F-16..?? Jiulize ni kwa nini..!!🔥🔥
Putin kasema zitaunguzwa kama vinavyounguzwa zana zingine zilizoshangiliwa sana wakati zinaingia Ukraine!! Kwa sasa hatusikii shangwe za HIMAIR wala Lepords 2 na nyinginezo!! Nyingi zimetekwa na ziko kwenye maonesho kwenye viunga vya mji wa Moscow!! Zinasubiriwa pia kwa hamu Abrahams tanks za marekani ziingie ukraine nazo zichomwe moto na pia zijiunge kwenye maonesho ya Moscow!! Zileteni hizo F1 fourth generation!!! Urusi ina fifth generation!! na S400 inazisubiri kwa hamu!!
Putin: F-16s will burn like other western equipment
View attachment 2725955
Russian President Vladimir Putin pointed out on Friday that United States-made F-16 fighter jets will "burn" like other military equipment given to Ukraine by its western allies, warning that such aircraft could be targeted even if they were located in air bases outside Ukraine and used against Russia.
NATO hawana hamu na jeuri ya PUTIN!!
MK254 umeisoma hiyo? Unaalikwa pia kwenye maonesho ya zana za NATO zilizotekwa, zinaoneshwa huko Moscow!!
Hongera kwa kujitoa ufahamu!! Wenyewe waliopeleka hizo silaha huko ukraine wanasema hadharani jinsi ambavyo mrusi anazifanyia mchezo wa jamming na kuzipotezea malengo. Lakini wewe mkenya wa mbagala unabisha!! Wenye akili zao unadhani watakuamini wewe au wataiamini CNN ya marekani waliotoa hizo zana zinazochomwa moto huko ukraine?Shangwe za HIMARS na madubwana mengine zipo maana tunaona matokeo, Mrusi leo hii amerudishwa nyuma tunaona anahangaika kuwa defensive huku akifukuziwa, yaani siamini kabisa supapawa anafukuziwa na kainchi jirani hapo.
Hongera kwa kujitoa ufahamu!! Wenyewe waliopeleka hizo silaha huko ukraine wanasema hadharani jinsi ambavyo mrusi anazifanyia mchezo wa jamming na kuzipotezea malengo. Lakini wewe mkenya wa mbagala unabisha!!