Ukraine kupokea ndege 42 za aina ya F-16

Huku mazoezi ya utayari na kuweka viungo sawa yakiendelea
 
Hehehe yaani mnavyojifariji, fuatilia wacha kutegema kuaminishwa vitu vya hovyo, hayo madubwana ndio yamesababisha Mrusi leo anapokea kipigo tofauti na mwanzo alivyokua anajisifia kupiga, leo maeneo yanamtoka puani.
Lini utatutembelea tena Mbagala? tumekumiss ujue!!
 
Jamaa ana mikwara ya kipuuzi.
 

Leo Mnaiamini CNN Kesho Ikitoa Habari Negativ Kwa Upande Wa Urusi,mnasema Ni Propaganda Za Western Medias,so Media Za Kuziamini Ni Zipi Tutajieni Source Za Kuziamini Msituumize Vichwa.
 
 
Hiki ulichosema hapa ni chuki dhidi ya marekani
 
[emoji1787][emoji1787] huu mstari wa mwisho ni zaidi ya kichekesho.

Yaani waswahili tunaijua vita ya urusi kuzidi walioko Frontline!! Eti ziko juu ya paa anakolala putin!![emoji23]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Jamaa ana mikwara ya kipuuzi.
Ni kweli kama hukuona vifaru vya Uingereza na Ujerumani vikitiwa kiberiti na Drones za Urusi aina ya Lacent -aibu tupu , Putin level nyingine hata mshushuwe vipi umahili wake kijeshi tume ushuhudia kwenye ulipuaji wa vifaru vya NATO sikuamini jinsi. Lacent zilivyo kuwa zinavishukia vifaru kama mwewe blowing them into smithereens - majigambo yote ya NATO kimya maana walishajua kwba Dunia yote imeshuhudia jinsi silaha za Urusi zilivyo mahili kweli kweli - sasa subirini muone jinsi vi F-16 vitakavyo tunguliwa kutoka kwenye anga la Ukraine na ikithibitika kwamba vinarushwa. kutoka Poland au Rumania. eatajuta kuzaliwa na wala US hatafanya lolote nawabieni.
 
First F-16 delivered
Thanks to Denmark
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…