ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,971
- 4,440
Yeye aliambiwa kama atoe watu wake kafara?Kinachoniumiza ni jinsi anavyoendelea kuwatoa watu wake kafara
Unachotaka nini sasa??
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye aliambiwa kama atoe watu wake kafara?Kinachoniumiza ni jinsi anavyoendelea kuwatoa watu wake kafara
Ha ha Putin mwamba kikubwa Soma ramani huko peskov ishatemwa huko. Ukraine wanazidi kuelekea ndani zaidiDuh.., Putin anatia huruma Kwa kweli [emoji24][emoji24][emoji24] umwamba umemponza,
Nakubali. Huko kinawaka waukraine wanazidi kutema ardhi yaoNyie pigeni kelele wee,muongee kila lugha ila mwisho wa siku CRIMEA,DONESK,LUHANSK,KHERSON zishaondoka izo kurudi labda dunia ianze upya[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635].kurusha mabomu wala haisaidii chochote kile zaidi mnazidi kuwapa hasira wakazi wa miji iyo kiwachukia na kuzidi kuwapenda WARUSI
Ha ha ha Soma ubao. Nb inawezekana hufuatilii. Nakuletea ramani muda so mrefu.Unaposikia Zelensky anaidai Crimea sasa ujue huko kwengine Mrusi kachapwa taaban na kafurushwa mbali kweli kweli, kabla Ukraine hawakuwa wakiitaja Crimea lakini sasa ni wazi Mrusi choka mbaya anakula mkongoto on the spot
Bado unaandalia ile ramani tu, Mji wa Khason waliachiwa majeshi ya Urusi waingie na wakatangaza kuuchukua lakini kumbe waliingizwa kwa mtego hatima wakawa traped 2000.,Ha ha ha Soma ubao. Nb inawezekana hufuatilii. Nakuletea ramani muda so mrefu.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Bado unaandalia ile ramani tu, Mji wa Khason waliachiwa majeshi ya Urusi waingie na wakatangaza kuuchukua lakini kumbe waliingizwa kwa mtego hatima wakawa traped 2000.,
wazee wa kulishwa vitu vizito , day 1 tulisikia vilio dunian wa ukraine wakijificha kweny maandaki ila leo wapo wanadunda mtaan huko kyiev soon tutasikia wahuni wapo ndan ya ardhi ya Urusi , narudia tena hata Hitler aliingia had km chache kufika moscow ila akrudishwa nyuma , pia Hitler aliiteka Nusu ya ufaransa ila alitimuliwa mwishowe pia Napoleon aliiteka karibu nusu ya ulaya ila mwishowe alianguka , Ottonman aliikamata karibu nusu ya ulaya ila mwishowe alianguka , Urusi iliikamata karibu nusu ya Afghanstan ila mwishowe akatimuliwa , HUEZ PIGANA NA WALIO KWENYE NCHI YAO HLF UKASHINDA[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] iyo labda ni kherson ya kwenye ndoto
Mkuu wambie kwamba Ukraine sasa anapapatua Crimea ambayo haikuwa na matumaini kablawazee wa kulishwa vitu vizito , day 1 tulisikia vilio dunian wa ukraine wakijificha kweny maandaki ila leo wapo wanadunda mtaan huko kyiev soon tutasikia wahuni wapo ndan ya ardhi ya Urusi , narudia tena hata Hitler aliingia had km chache kufika moscow ila akrudishwa nyuma , pia Hitler aliiteka Nusu ya ufaransa ila alitimuliwa mwishowe pia Napoleon aliiteka karibu nusu ya ulaya ila mwishowe alianguka , Ottonman aliikamata karibu nusu ya ulaya ila mwishowe alianguka , Urusi iliikamata karibu nusu ya Afghanstan ila mwishowe akatimuliwa , HUEZ PIGANA NA WALIO KWENYE NCHI YAO HLF UKASHINDA
Ukraine saivi anapapatua Crimea ambayo tayari ilikuwa kwenye himaya ya Urusi na ilikuwa haina tena plan kwamba russia washapachika bendera zao, sasa moto unawawakia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] iyo labda ni kherson ya kwenye ndoto
Tena crimea lilitolewa onyo ole wake aiguse mtu.Mkuu wambie kwamba Ukraine sasa anapapatua Crimea ambayo haikuwa na matumaini kabla
wazee wa kulishwa vitu vizito , day 1 tulisikia vilio dunian wa ukraine wakijificha kweny maandaki ila leo wapo wanadunda mtaan huko kyiev soon tutasikia wahuni wapo ndan ya ardhi ya Urusi , narudia tena hata Hitler aliingia had km chache kufika moscow ila akrudishwa nyuma , pia Hitler aliiteka Nusu ya ufaransa ila alitimuliwa mwishowe pia Napoleon aliiteka karibu nusu ya ulaya ila mwishowe alianguka , Ottonman aliikamata karibu nusu ya ulaya ila mwishowe alianguka , Urusi iliikamata karibu nusu ya Afghanstan ila mwishowe akatimuliwa , HUEZ PIGANA NA WALIO KWENYE NCHI YAO HLF UKASHINDA
Kutoku side upande wowote kumefanya SMO iishe MKUUMimi na uzee huu sina guts za ku-side upande wowote katika vita hii. Imagine, Rusia pekee amepoteza roho 70,000 kwa uchache, imagine ungepita mbele ya parade ya watu 70,000 kisha ukapita mbele ya majeneza 70,000, je, ungeendelea kushabikia upande wowote?, i hate loss of life and properties for any reason
RUSSIA TAIFA TEULEwashaur kwanza wanaojilipua kwa kivuli cha uislam
Sawa, unaendelea kushabikia loss of lifeNaendelea ku side na Urusi kwenye hii operesheni
Nalog off Z
Ndio,wao sio wa kwanza kufa waendelee kufa tu kama walivyokufa/wanavyokufa raia wa mataifa mengine kwa utemi wa hao team upindeSawa, unaendelea kushabikia loss of life