Ukraine: Simu za mkononi chanzo cha vifo vya wanajeshi 89 wa Urusi!

Ukraine: Simu za mkononi chanzo cha vifo vya wanajeshi 89 wa Urusi!

... hakuna mwenye akili timamu atakayefurahia hata kifo kimoja cha askari wa Ukraine wanaolinda nchi yao, utaifa wao, na watu wao. Kinyume chake, ni asiyekuwa na akili timamu pekee ndiye ambaye hatafurahia mamia ya vifo vya askari wavamizi wanaoua watoto, wanawake, na wazee wa Ukraine wasio na hatia.

Kwa kifo kimoja cha askari wa kirusi maisha ya makumi ya raia wasiokuwa na hatia yanakuwa yameokolewa. Mungu awabariki wanaotekeleza kazi hii njema kwa gharama ya maisha yao na awalaani warusi mara elfu! T14 Armata, Proved, kp kipanya44, Frank Wanjiru, MK254, et. al.

Ha ha ha!! Wameanza kuuliza kwanini tunafurahia vifo vya Warusi, yaani mtu uvamie nchi ya watu na kuua watoto na wazazi wao na kusambaratisha nyumba za watu na kuwatesa kisa uuawe watu wahoji kwanini tunafurahia, kwanza hao Warusi wanapiga miundo mbinu ya raia kabisa pamoja na nyumba za kifamilia, wauae yaani tu wafe mbwa...
 
Ha ha ha!! Wameanza kuuliza kwanini tunafurahia vifo vya Warusi, yaani mtu uvamie nchi ya watu na kuua watoto na wazazi wao na kusambaratisha nyumba za watu na kuwatesa kisa uuawe watu wahoji kwanini tunafurahia, kwanza hao Warusi wanapiga miundo mbinu ya raia kabisa pamoja na nyumba za kifamilia, wauae yaani tu wafe mbwa...
... ni jambo la ajabu sana wengine hawaoni madhila warusi wanayowasababishia Ukraine. Wakibanwa utasikia mbona Marekani iliivamia Iraq; kana kwamba Ukraine wanalipa dhambi walizofanyiwa Iraq, sijui na wapi huko vitu viwili tofauti kabisa.
 
Tuseme wamekufa 400 Sasa wewe hiyo inakuongezea Nini?! Yaani unafurahia vifo vya binadamu wenzio?! Mimi ni Pro-Russia lakini sijawahi kufurahia vifo vya Askari wa Ukraine wala Russia..Hao Askari wanna Ndugu na familia...tuseme wewe una Ndugu ambaye ni Askari Yuko vitani na anafariki, je utajisikiaje Kama watu wataanza kufurahia kifo Cha huyo Askari na hata kuweka maiti yake mitandaoni ?!
Hivi vitani askari huwaga wanaenda kufanya nini?? Tuanzie hapo kwanza.
 
... hakuna mwenye akili timamu atakayefurahia hata kifo kimoja cha askari wa Ukraine wanaolinda nchi yao, utaifa wao, na watu wao. Kinyume chake, ni asiyekuwa na akili timamu pekee ndiye ambaye hatafurahia mamia ya vifo vya askari wavamizi wanaoua watoto, wanawake, na wazee wa Ukraine wasio na hatia.

Kwa kifo kimoja cha askari wa kirusi maisha ya makumi ya raia wasiokuwa na hatia yanakuwa yameokolewa. Mungu awabariki wanaotekeleza kazi hii njema kwa gharama ya maisha yao na awalaani warusi mara elfu! T14 Armata, Proved, kp kipanya44, Frank Wanjiru, [USER...=142457]MK254[/USER], et. al.
Ni vema Sana umewatag wenzio wenye akili Kama zako....unazungumzia asiyekuwa na akili timamu ndiye ambaye hatafurahia vifo vya Askari wavamizi...it is a comment of a mentally deranged person...you are talking of Askari wavamizi ..but Russians believe they are defending themselves against Western encroachment to their country...wewe upo Kinyerezi unadhani Russia ni wavamizi na hi ni kwa kuwa umeaminishwa hivyo na Western media...
 
... ni jambo la ajabu sana wengine hawaoni madhila warusi wanayowasababishia Ukraine. Wakibanwa utasikia mbona Marekani iliivamia Iraq; kana kwamba Ukraine wanalipa dhambi walizofanyiwa Iraq, sijui na wapi huko vitu viwili tofauti kabisa.
Ingefaa sana waambiwe kwamba Kila mtu atajitwika na kuuchukua msalaba wake mwenyewe. Kama Mrussi (na pro-Urussi) mnaona ni sawa hayo anayowatendea Ukraine basi Mrussi atulie na aache ngoma iendelee kuchezwa uwanjani. Mbona Urussi inayojiita supa pawa ndio yenye kuwa na kelele nyingi humu? Mrussi amesikia maumivu eti??? au sio.
 
... ni jambo la ajabu sana wengine hawaoni madhila warusi wanayowasababishia Ukraine. Wakibanwa utasikia mbona Marekani iliivamia Iraq; kana kwamba Ukraine wanalipa dhambi walizofanyiwa Iraq, sijui na wapi huko vitu viwili tofauti kabisa.

Kuna wale wanaongozwa na mihemko ya chuki zao dhidi Marekani za kidini, hao hata waone watoto wa Ukraine wanachinjwa na kubakwa huwaambii kitu.
 
Inawezekana wengi wa hawa ni wale wasio na uzoefu wa medani za kivita
Sidhani kama ni hivyo mkuu; kwani Tahadhari na Taratibu za mahali hutolewa hasa ukizingatia wapo vitani. Mrussi kwa hulka yake ni mwenye dharau kubwa na hupuuzia vitu kirahisi-rahisi na anapenda sana majigambo. Kama umewahi kuishi au kufanya kazi na Mrussi au mtu aliyesomea Taaluma fulani huko Urussi nadhani utanielewa.
 
Ni vema Sana umewatag wenzio wenye akili Kama zako....unazungumzia asiyekuwa na akili timamu ndiye ambaye hatafurahia vifo vya Askari wavamizi...it is a comment of a mentally deranged person...you are talking of Askari wavamizi ..but Russians believe they are defending themselves against Western encroachment to their country...wewe upo Kinyerezi unadhani Russia ni wavamizi na hi ni kwa kuwa umeaminishwa hivyo na Western media...
... vita vinapiganwa wapi mzee baba? Ni raia wa wapi wanauliwa bila hatia? Sikutegemea uandike tofauti na ulichoandika.
 
... vita vinapiganwa wapi mzee baba? Ni raia wa wapi wanauliwa bila hatia? Sikutegemea uandike tofauti na ulichoandika.
Hata ramani ya Ukraine inawezekana kweli msomi kiwango hicho asiijue??!!
Halafu huhitaji kufika Uganda au Kenya ili ujue kwamba Kenya na Uganda wanashare mpaka.
Kutwaa(Kupokonya) na Kukalia nchi kimabavu, haijalishi umekaa hapo kwa muda gani. Bado pataendelea kuwa hapo sio kwako. Urussi kukalia maeneo iliyopokonya Ukraine 2014 kwa muda mrefu zaidi ya 7yrs haihalalishi kuwa ni Urussi. Sasa wapo walioaminishwa na pengine kumilikishwa maeneo kwamba hiyo ni ardhi ya Russia na hawakufuatilia Historia.
Hao ndo wanaosema tunapigania na tunajilinda kwenye ardhi Yetu kama mdau alivyodai hapo juu.
 
Warusi wanatafuta sababu tuu toka niliposikia wanatumia walevi mara wengine waliofungwa jela kupitia Warner Group wiki iliyopita wameanza kuchukua wapiganaji kutoka Ethiopia wahuni walijiandikisha ubalozini kwao naona kaishiwa mbinu za kijeshi ni vile Muhuni Putin hataki kurudi nyuma na kukubali makosa yake alikua anaenda vizuri akaaminishwa ujinga ona sasa anapata tabu kila kukicha anaangalia askari wake wanavyoteketea kwa ujinga wake...angemuuliza USA kwenye vita ya Vietnam kama atarudia tena usimdharau mtu anaepigana kwa uzalendo wa Nchi yake hata kama ni mdogo utakufa tuu...
 
Simu zote za kisasa na hata za Twanga pepeta zinakuwa na location.Utaonekana ulipo.Unajua Tena wanaopigana Ni vijana ,ni wepesi kuchukulia mambo kuwa ni rahisi.Viongoz wa vikosi wanatakiwa kuwa wakali sana.
Mbali na simu, US wana tec za hali ya juu sana, lilikuwa ni suala la muda tu kulipua hiyo barack.
 
images-57.jpg
 
Back
Top Bottom