Ukraine wakomboa vinu vya mafuta na gesi, Boyko Towers. Warusi wakimbia mapambano na kuvitelekeza

Ukraine wakomboa vinu vya mafuta na gesi, Boyko Towers. Warusi wakimbia mapambano na kuvitelekeza

Amevamia Kwa sababu ya NATO au Marekani.urusi hawezi kuamua kuingia vitani na ndugu zake Ukraine hivihivi wale ni ndugu kabisa.marekani walikuwa mpaka na maabara haramu Ukraine.na maeneo yaliyochukuliwa ni maeneo halali ya urusi ukiangalia historia.kwa kifupi Ukraine haitaweza kuwa chini ya NATO kame kwa sababu ile ni kama urusi ndogo.
Urusi mpaka Leo kashindwa kutoa ushahidi usio mashaka juu ya haramu inayofanyika kwenye hizo maabara. Marekani ina Biolabs kibao sehemu nyingi duniani ikiwemo hapa Tanzania zikijihusisha na tafiti mbalimbali hazipo Ukraine pekee.
 
Back
Top Bottom